G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,289
- 38,942
Nilikuwa nampango kuanzisha uzi kule jf doctors...kuhusu hedhi kwa wanaume.. Inshot iko hivi hedhi kwa wanaume ipo na inatokea baada ya siku 28,nakabla ya kuingia huwa ana hasira zisizo na sababu yoyote zaidi goggle(do man have period?) mimi nimeshindwa kuweka link..
Akili za hovyo kabisa..period na menstruation ni sawa??? nenda ukalale!!!