.....Najua swala hili liko mahakamani vyombo vya habari leo vimetangaza.... mara nyingi inakuwa ni vigumu mtu wa kawaida kuamini kwamba wadada wa vyuo UDSM, CBE, IFM, VETA na wengineo wanauza miili yao usiku maeneo mbalimbali ya jiji loh!! najiuliza sababu hasa ya kufanya hivyo ni hulka au, njaa ya pesa au ya chakula, mazoea au mdudu wa ngono?