Chimunguru .. kulikuwa na mpiga picha mwingine alikuwa anaitwa Madanga S. Madanga! ... sijui yuko wapi siku hizimichuzi niko std six 1987 nasoma daily news picha alikuwa akipiga yeye, kweli jamaa si wa leo ana uzoefu tosha ana deserve na si kupendelewa!
Chimunguru .. kulikuwa na mpiga picha mwingine alikuwa anaitwa Madanga S. Madanga! ... sijui yuko wapi siku hizi
Kwani michuzi kapewa cheo gani mkuu? Tudadavulie pls.View attachment 62370
Hii kitu nimeikuta Facebook Riz1 anasema awakuanza hapa wameanzia mbali wambele ni Issa Michuzi
michuzi ndiye mpiga picha mkuu wa Rais kwa sasa hii niliithibitisha Uganda na kuongea naye.....Kwani michuzi kapewa cheo gani mkuu? Tudadavulie pls.
Kulikuwa na mwingine anaitwa Castrol Manjulungu huyu kwa sasa ni marehemu, unamkumbuka mkuu?Chimunguru .. kulikuwa na mpiga picha mwingine alikuwa anaitwa Madanga S. Madanga! ... sijui yuko wapi siku hizi