Kumbe vijana waandamanaji walipoimba tunataka iwe kama Madagascar ndio watu wakapigwa risasi ovyo!

Kumbe vijana waandamanaji walipoimba tunataka iwe kama Madagascar ndio watu wakapigwa risasi ovyo!

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,281
Reaction score
7,061
Kitendo cha waandamanaji kuimba na kutaka yaliyotokea Madagascar yatokee hapa Tanzania. Ndio risasi zikawa zinamiminwa hovyo!

Hii imenitia hofu. Maana habari za wengi waliofariki sidhani kama walikuwa kwenye maandamano. Mfano yule mwandishi wa Clouds media.
 
Madagascar yenyewe ni vijana 22 tu ndio waliouwawa katika maandamano ya mwezi mzima yaliyomuondoa dikteta Rajoelina.
 
Angejifunza kwa madagaska wananchi wakishakukataa unasepa hutakiwi kupambana na raia,kwani raisi wa madaska hakuwa na jeshi au hakuwa na uwezo wa kukodi vikundi vya kupiga watu lakini mbona aliamua kusepa,kungangania kunaweza kumfanya yakamkuta kama ya gadafi
 
Maandamano yaliitishwa tarehe 29 tu, siku zilizofuata baada ya hapo ilikuwa ni polisi kuwinda watu mitaani na majumbani na kuwapiga risasi!.
Watuonyeshe video yoyte wananchi wakiandamana tarehe 30 October, na tarehe 1 November
 
Madagascar yenyewe ni vijana 22 tu ndio waliouwawa katika maandamano ya mwezi mzima yaliyomuondoa dikteta Rajoelina.
Waliuawa wachache kwa sababu wana jeshi la wanainchi lililokataa kutii amri ya yule dikteta uchwara kibaraka wa Ufaransa.

Vuta piacha na wenyewe wangekuwa na jeshi la watawala kama la Mkundu? Wangetoboa?
 
Back
Top Bottom