Kwani hakuna uwanja wa ndege?Mtwara hub ya gesi hawakuona,
Naanza kukubaliana na Faiza Foxxy
Shule tulikwenda somea ujinga
Kwani hakuna uwanja wa ndege?Mtwara hub ya gesi hawakuona,
Naanza kukubaliana na Faiza Foxxy
Shule tulikwenda somea ujinga
Watajenga.Naomba wakimaliza wa Chato wakajenge na mwingine Chunya maana nako kuna dhahabu nyingi sana
Kuna bahari.chato kuna mgodi?
Sadly, most of the times, TISS ndiyo utoa maelekezo ya namna ya kujibu/kusema kwa wabunge wa CCM! Wakina Lusinde, Mlinga n.k., usema yale waliyoambiwa wayaseme.Majibu yanakuwa fabricated kutoka somewhere na hawa wanaambiwa wakaseme tu kama Kasuku
Leo bungeni katika kipindi cha maswali na majibu, naibu waziri ameelezea kuhusu matumizi ya uwanja wa ndege wa Chato.
Naibu waziri huyo amedai uwanja huo utakuwa unatumika kusafirisha madini kwani kutoka Mwanza hadi Chato ni zaidi ya kilomita 300 na kusafirisha madini umbali huo ni hatari kwa usalama. Na pia hata wamiliki wa mgodi wa Bulyanhulu wana uwanja wao hivyo ni muhimu serikali nayo kuwa na uwanja wake
Ameongeza kuwa uwanja huo pia utatumika kusafirisha watu na vifaa mbalimbali na hivyo uwanja huo ni kwa ajili ya manufaa ya watanzania wote ni si wachache.
Upo je ni wa standard gani?Kwani hakuna uwanja wa ndege?
Standard Gauge.Upo je ni wa standard gani?
Akili zako kama goodluck mlinga aka mpunga wa ulangaStandard Gauge.
harafu waende namtumbo kuna uraniumHalafu waende Minjingu kuna phosphates.
Kila kwenye madini inajengwa international airport? Ilihali kilimo mnapeleka 3% ya budget?. Haya mkitoka Chato mkajenge Chunya, kahama, nyakavangala Iringa na sehem zingine zote zenye madiniMkuu Geita nzima imejaa dhahabu.
hakuna wilaya ya Geita isiyokuwa na dhahabu.