Tumeomba katiba mpya,wameikalia,Lissu wamemtandika risasi,Magazeti wanafungia,polisi imegeuka Chaka la ccm,hivi great thinker haya mambo hayahitaji kuhojiwa kwa High court au tunajivuruga wenyewe,kwani issue hii na ile ya Jackob Zuma tofauti yake ni ipi wakuu.Time will tell there is no short cut in Life