Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 735
Nimetia kampuni hasara ya zaidi ya milioni tatu na natakiwa kuzilipa haraka iwezekanavyo.. Ukilinganisha na kipato changu nahisi labda baada ya miaka miwili ndo ntamaliza.
Nimerudi nyumbani nimepewa game nimeshindwa shindweeee kabisa.. daaaah
Maombi yenu tu kwakweli, laa sivyo jela, fedheha na kuchapiwa kutanihusu.
Nimerudi nyumbani nimepewa game nimeshindwa shindweeee kabisa.. daaaah
Maombi yenu tu kwakweli, laa sivyo jela, fedheha na kuchapiwa kutanihusu.