bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 773
- 1,087
Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
=======
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
=======
In late 2000's nilipata kuishi Sumbawanga. Napafahamu kwa kiasi chake. Sijaelewa mtoa mada anapopa-term SBA kuwa ni " pa kishamba", amepafananisha na mahali gani au ametumia vigezo gani.
Binafsi kwa kipindi nilichoishi kule, nilipaona ni mahali pazuri ambako Mji umepangiliwa vizuri, hali ya hewa nzuri, upatikanaji wa vyakula "natural" ni rahisi na wa bei nafuu sana. Halikadhalika maisha ya kule si magumu kulinganisha na Miji mingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawapongeza Watumishi wa Ardhi waliofanya kazi Sumbawanga kati ya mwaka 1980 mpaka 2006 kwa kuupanga Mji walipima viwanja maeneo mbalimbali ya Mji kama vile Kristo Mfalme, Kisiwani, Malangali, Hali ya Hewa , Makutano Kizwite, Regional block Jangwani Bangwe na Majengo na Katandala Hongereni sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app