Kumbe SOSOLISO ni MDHEE?

Kumbe SOSOLISO ni MDHEE?

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,635
Reaction score
6,231
Huyu jamaa SOSOLISO wa JF nilikuwa nafikiri kijana mdogo kumbe wa zamani?

Yaani hawa TRIO MADJESI wameshakuwa naye kwenye Stage miaka ya 70 mwanzoni?

114351543.jpg

abc_shaq_tony_piggyback_kimmel_thg_111202_wmain.jpg

Pichani, SOSOLISO wamebebana.

Video: TRIO MADJESI & SOSOLISO TITRE SEX MADJESI / DJOMEGABP - YouTube
 
Aisee Sosoliso, huyu Shemeji yetu kwa kweli nimemuheshimu maana anaonekana mdogo ila ana uwezo wake.

Mie mwenyewe sidhani kama naweza kunyenyua juu uzito sawa na huo mzigo.

Ila na wewe Sosoliso siyo mbaya kabisa kwa kubeba maana una hadi style za kiajabu ajabu.

Shaq-and-Hoopz-3.jpg

Ha ha ha Paloma.. nilikuambia usimdharau shemeji yako.. wembamba wa reli tu huo.. Ananibeba sana mie huyo..
 
Aisee Sosoliso, huyu Shemeji yetu kwa kweli nimemuheshimu maana anaonekana mdogo ila ana uwezo wake.

Mie mwenyewe sidhani kama naweza kunyenyua juu uzito sawa na huo mzigo.

Ila na wewe Sosoliso siyo mbaya kabisa kwa kubeba maana una hadi style za kiajabu ajabu.

Shaq-and-Hoopz-3.jpg
Sikonge hayo ni mazoezi ya kutafuta ile appetite.. Najua huna ujanja wa kupata picha za mipambano yenyewe.. Maana ni balaa.. Paloma asingeamini..
 
Last edited by a moderator:
duh! aisee.....ngoja nichukue mazoezi...........maana namie napendaga vipande kama wewe!
nikishakuwa fiti nije love connect nitafute....kigezo ni kipande povu tupu.............hehehehehee
big up sosoliso:rockon:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom