Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Nilifikiria kuwa Mzee wa Bastola ana matatizo ya kuwadanganya wadau(wapenzi na wanachama) wa Simba tu, kumbe hata kwenye nyanja nyingine,My GOD....
Kauli yake ya kuwaambia Uma wa wapiga kura wa Igunga kwenye mkutano mmoja wa Kampeni wakati akimpigia debe Mgomba wa CCM kuwa Mgombea wa Chadema alishajitoa inafanana kabisa na hizi zifuatazo:-
1. Tumefikia hatua nzuri katika usajili wa Asamoah(Keneth), wana Simba jiandaeni kumpokea
2. Tumeshamsajili Nizar Khalfani, tutamtambulisha kwenye Tamasha la Simba pale Dar Live
3. Tumeshamaliza kila kitu kinachohusiana na usajili wa Mbuyu Twite, Twite sasa ni mali ya Simba,atakuwepo na atacheza kwenye Simba day
4. Tumeshamuuza Okwi kwa Euro kadhaa
5. Tutajenga ndani ya muda mfupi uwanja wa kisasa wa Simba
6. Mtoto wa Kigogo ndo aliyem'sainisha Mbuyu wetu kule Kigali.
7. Etc,etc
Huko kwenye siasa watu wameshamshtukia na ndo maana watu wametumia uongo wake huo kama 1 ya silaha zilizotengua ushindi wa Mshindi, siku watakapokuja kushtuka huku kwenye soka ndo utakuwa mwisho wa huyu Mzee msema uongo.
Kauli yake ya kuwaambia Uma wa wapiga kura wa Igunga kwenye mkutano mmoja wa Kampeni wakati akimpigia debe Mgomba wa CCM kuwa Mgombea wa Chadema alishajitoa inafanana kabisa na hizi zifuatazo:-
1. Tumefikia hatua nzuri katika usajili wa Asamoah(Keneth), wana Simba jiandaeni kumpokea
2. Tumeshamsajili Nizar Khalfani, tutamtambulisha kwenye Tamasha la Simba pale Dar Live
3. Tumeshamaliza kila kitu kinachohusiana na usajili wa Mbuyu Twite, Twite sasa ni mali ya Simba,atakuwepo na atacheza kwenye Simba day
4. Tumeshamuuza Okwi kwa Euro kadhaa
5. Tutajenga ndani ya muda mfupi uwanja wa kisasa wa Simba
6. Mtoto wa Kigogo ndo aliyem'sainisha Mbuyu wetu kule Kigali.
7. Etc,etc
Huko kwenye siasa watu wameshamshtukia na ndo maana watu wametumia uongo wake huo kama 1 ya silaha zilizotengua ushindi wa Mshindi, siku watakapokuja kushtuka huku kwenye soka ndo utakuwa mwisho wa huyu Mzee msema uongo.