Kumbe Puma Energy ni kampuni ya Serikali!

Kumbe Puma Energy ni kampuni ya Serikali!

8 Signs Your IQ Is Lower Than Average
17765960_m.jpg
Ukitopea kwenye ' mahaba' huwezi kuelewa kinachoendelea nchini hadi pale mahaba yatakapokubabua!
 
Athari ya kuwa na vilaza Wengi nchini...
Kweli kabisa mkuu. Vilaza ni wengi sana uku kwenye uchumi na biashara uwakuti. Kazi wao kushangilia siasa za kipuuzi upuuzi tuuu zisizokuwa, na mbele wala nyuma
 
Maadamu serikali ndio imetoa mwenyekiti wa board wa tipper Na puma hizo kampuni mbili zitatengeneza pesa hadi basi kwani mafuta yasiyosafishwa toka uganda yatasafirishwa kwa meli toka tanga hadi dar kiwanda cha tipper yakishasafishwa Tanzania Na nchi zote za afrika mashariki na kati hazitahitaji kununua mafuta uarabuni mafuta yaliyosafishwa Puma watakuwa ndio wauzaji wakuu na wasambazaji wa mafuta yaliyosafishwa kiwanda cha tipper Tanzania Magufuli hoyeee

Kumbuka wenye mafuta na bomba ni kampuni ya TOTAL ambayo ipo nchini Tanzania siku nyingi.

Inawezekana vipi Puma ambayo haina mchango wowote kwenye bomba na mafuta wawe ndio wasambazaji wakuu wa mafuta hapa nchini Tanzania?
 
Kumbuka wenye mafuta na bomba ni kampuni ya TOTAL ambayo ipo nchini Tanzania siku nyingi.

Inawezekana vipi Puma ambayo haina mchango wowote kwenye bomba na mafuta wawe ndio wasambazaji wakuu wa mafuta hapa nchini Tanzania?
Ni biashara tu itafanyika.
 
Nilivyoona tu wamenunua mashine za tra kwa fujo nikashtuka kuna mchongo wamepewa soon nikaona ban kwa vituo vingine vya mafuta nikajua tu serikali inachake pale
Hahahaaaa..,...mkuu hiyo ni utii bila shuruti!
 
Back
Top Bottom