Kumbe Puma Energy ni kampuni ya Serikali!

Kumbe Puma Energy ni kampuni ya Serikali!

Hapa ndo unapogundua kuwa watz wengi kuhusu maswala ya uchumi na biashara ni weupe!! kichwani!!

sasa hapa makosa yanaweza yakawa pande zote mbili,

Serikali kwa maana ya mikataba wanayoingia nayo wanaweka siri au uvivu watz kusoma na kujua tz ikoje wapi tulipo na wapi tunaenda kama tunalivyo kawaida yetu kusoma hatusomi.

Lakini ukiweka mambo ya siasa kila mtu anajua.
Mikataba ya siri imesainiwa mingi na hatujui inahusu kitu gani hasa.
 
Back
Top Bottom