mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Jamani nisoma gazeti la mwanahalisi leo kuhusu mauaji ya arusha. inatisha!!!. kosovo ya ajabu. pamoja na kitendo hiki hamna hata kiongozi mmoja aliyewajibika?!!
kumbe polisi walipiga risasi raia wengi mitaani arusha. halafu jeshi la polisi wanadanganya eti walifyatua risasi kujihami baada wa raia kuvamia kituo. polisi imapata wapi ujasiri wakudanganya watanzania kupita mkanda wao uliochakachuliwa? je polisa wana haki kisheria kuua? Je wanahaki kisheria kupotosha ukweli?
jamani chadema tunaomba mkanda halisi wa tukio la arusha kwenye DVDs.....uwiiiiiiiiiii...inatisha tanzania
kumbe polisi walipiga risasi raia wengi mitaani arusha. halafu jeshi la polisi wanadanganya eti walifyatua risasi kujihami baada wa raia kuvamia kituo. polisi imapata wapi ujasiri wakudanganya watanzania kupita mkanda wao uliochakachuliwa? je polisa wana haki kisheria kuua? Je wanahaki kisheria kupotosha ukweli?
jamani chadema tunaomba mkanda halisi wa tukio la arusha kwenye DVDs.....uwiiiiiiiiiii...inatisha tanzania