Kumbe Picha ya mwili wa Osama ni Fake!!!!!!!

Nafikiri hizi picha zimeshapita hapa ...ziko kwenye thread fulani!! uchakachauji ulipatia jicho lakini si sura ..eh?
 
<font face="Book Antiqua"><font size="4">Mkuu Tumaini;</font></font><br />
<br />
<font face="Book Antiqua"><font size="4">Naona wewe ni mdogo wangu..!! Baba yetu ni JIPYA!! Nimefurahi kukuona maeneo haya!!</font></font><br />
<br />
<font face="Book Antiqua"><font size="4">s</font></font>
<br />
<br />



Ha ha ha ha ha ha,Haya Brother Azimio,naona Baba alikuwa ametingwa na dunia kiasi kwamba amekosa hata muda wa kutuunganisha watoto wake!!
Pamoja Saaaaaana!!
 
Hizi picha zimekuwa mtandaoni zinazunguka mwaka wa tano hivi sasa. Washasema kuwa picha za mwili wake hazitatolewa hadharani!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom