Kumbe P-square nao ni member wa freemason.

Kumbe P-square nao ni member wa freemason.

Landala

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
997
Reaction score
483
Heshima kwenu wana jf wote nilikuwa nasikiliza kipindi cha pilor talk kupitia Times radio kuna mtaalam mmoja wa masuala ya dini na historia anaitwa Rajabu Mlanzi amesema wanamuziki maarufu wa kundi la p-square kutoka Nigeria kuwa nao ni wa member wa kundi la waabudu shetani la freemason.Kumbe ndio maana kila nyimbo wakitoa inatamba kumbe nyuma yao wapo freemason.
 
baki na mawazo hayo hayo wenzenu wanaendelea. Wanajituma wabunifu ndiyo maana nyimbo zao zinapendwa.
We huoni wanatumia nguvu na pesa nyingi kuhakikisha mziki wao unakuwa bora na video za maana. Unataka video ya rich mavoko ya mil 2 au 3 incompete na mtu anayetengeneza video ya mil 40.
Hakuna kitu kama hicho, hebu nifafanulie freemasons wanakufanyaje wewe upende mziki wa psquare?
 
baki na mawazo hayo hayo wenzenu wanaendelea. Wanajituma wabunifu ndiyo maana nyimbo zao zinapendwa.
We huoni wanatumia nguvu na pesa nyingi kuhakikisha mziki wao unakuwa bora na video za maana. Unataka video ya rich mavoko ya mil 2 au 3 incompete na mtu anayetengeneza video ya mil 40.
Hakuna kitu kama hicho, hebu nifafanulie freemasons wanakufanyaje wewe upende mziki wa psquare?

kuna msanii nilimuuliza mbona siku hizi ukitoa nyimbo hai hit kama zamani,akajibu eti kwa vile yeye si freemason ndio maana akitoa nyimbo aipendwi,nikamjibu ok mbona ulivyoanza ulitoa nyimbo ikahit sana,je ulikuwa member wao,akaanza kujiuma mdomo
 
Kama ray wa bongo movies "pumbaaaaaaaaavu"
 
Heshima kwenu wana jf wote nilikuwa nasikiliza kipindi cha pilor talk kupitia Times radio kuna mtaalam mmoja wa masuala ya dini na historia anaitwa Rajabu Mlanzi amesema wanamuziki maarufu wa kundi la p-square kutoka Nigeria kuwa nao ni wa member wa kundi la waabudu shetani la freemason.Kumbe ndio maana kila nyimbo wakitoa inatamba kumbe nyuma yao wapo freemason.
Huyo Rajabu Mlanzi ndo mtu gan kwanza alafu nani kakwambia freemasons waabudu shetan
 
Kwa stail hii Watanzania tutasonga mbele kweli...Kweli yani mtu ajitume kwa bidii afanikiwe kimaisha halafu umwite freem....sijui nn...??? kweli? kweli? kweli......Tutafika....

Hivi na wewe uliyeleta huu uzi unaakili timamu kweli....?
 
psquare-jidesaludiary-rockshock2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom