yule mnyampaa ni mchumia tumbo tu kama wengine na kuja sisiem alipotea njia katika safari yake ya matumaini anachojali yeye na Mr Februari ni kuwa rais wa bongo tu si kingine wakiamini wao tu ndo wana akili kuliko wabongo wote!Nyalandu ni mpinzani au Ni mwanampotevu wa ccm? Usitake kuvisha upinzani watu ambao sio wapinzani.
jinsi ulivyomshukia umejitaja mwenyewe asili yako, mwenzio kauliza swali wewe unaanza kupayuka, namshauri asijibizane na wewe ...Content yako ya Thread imekaa Kipumbavu mno Ndugu na nisamehe kwa hilo. Naamini hata JPM unayempenda akiiona bado nae atakudharau tu.
Anamkubali sana. Mzee wa fyu fyu fyu...hoja hana anategemea Polisi na Jeshi.Nimemsikiliza Nyalandu akiwajibu waandishi swali la yeye kuhusika na usafirishaji wa TWIGA wetu kwenda Uarabuni kipindi cha JK.
Akajibu swali kwa swali - akasema " Hivi unadhani ningekuwa kweli nilihusika kwa AWAMU hii ningekuwa barabarani?" Hivi makamanda wenzangu huku sio kukiri kuwa JPM ni Jiwe na Chuma cha ukweli mbele ya UFISADI?
Hii kauli haiconfirm alichoeleza Mh Silinde kuwa hata wapinzani wakikaa pembeni wenyewe kwa wenyewe huwa wanaappreciate saaana uongozi wa JPM?
Tumtonye Mwenyekiti afanye video conference na kamati kuu nini?
Kuna njia nzuri ya kutoa jibu hilo.Content yako ya Thread imekaa Kipumbavu mno Ndugu na nisamehe kwa hilo. Naamini hata JPM unayempenda akiiona bado nae atakudharau tu.
Huna haja ya ku apologize mpumbavu kwa upumbavu wake.Content yako ya Thread imekaa Kipumbavu mno Ndugu na nisamehe kwa hilo. Naamini hata JPM unayempenda akiiona bado nae atakudharau tu.
Wewe na huyo unayemtetea ndani ya chadema LAZIMA mtakuwa kundi la kamanda msaliti; ndiye anayependa lugha ya matusi namna hiyo.Huna haja ya ku apologize mpumbavu kwa upumbavu wake.
Be bold and calm, enjoy the ease Sunday