Allineando
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,064
- 1,124
Kweli Tazama video [emoji329] nimeituma nowHii ni Hadith ya kweli au ya kufikirika?
Kweli Tazama video [emoji329] nimeituma nowHii ni Hadith ya kweli au ya kufikirika?
Mbon ya kitambo hiyoo issues mkuuSiku zote nilikua nashangaa kwa nini huyu 'jamaa' alikua anafagilia sana 'sera' zile...
Mpaka akaweka kama mojawapo ya masharti ya nchi zetu kupata misaada...!!
Sasa ndio naelewa kwa nini....!!!
Duh....!!!
![]()
Mbon ya kitambo hiyoo issues mkuu
Ni moja ya vitu jaluo alivyo feli completely
Kukisaliti hata biblia...hatari sana
Angalia clip hiyo tumchukie inatusaidia nini sisi eeh?Kwa kiongozi akishatoka madarakani waga yanasemwa mengi sana, raisi hawezi kupendwa na kila mtu ata siku moja, haya yalikuwa wapi kabla hajamaliza muda wake na uzuri wa nchi ya marekani wanachi wana uwezo wa kusema chochote kuhusu kiongozi wao ata kama ni jambo la kumdhalilisha
All in all hii sio habari ya kushabikia tu labda kisa humpendi obama au laa, issue kama hii nisawa na madawa inahitaji ushahidi nasio hisia tu, na kuhusu sera kwa nchi kama marekani haitungwi na raisi bali inatekelezwa na raisi, nisawa na jinsi ambavyo marekani inaziandama nchi za kiarabu ile sio sera ya Raisi bali ya nchi
Sipo hapa kupinga ila sitaki kuamini kwa reason nyepesi hivi
Umefungua hiyo clip Lakin comrade??? [emoji56]Nilikua nimezubaa...
Yaani hili bandiko la Newsweek ndio naliona mwaka huu...!!!!
Huyu jamaa alitaka watu wawe huru kufanya kila watakalo mpaka akapitiliza, ilibakia kidogo angepitisha na unga watu wajipimie mtaani
Umefungua hiyo clip Lakin comrade??? [emoji56]
Watu wanazaniaga tuna zuka tuu ama tuna chuki, tuna evidence za kutosha ati..Nachelea kuamini kuwa kama kungekua na 'kipindi cha tatu' cha uongozi wake, angehalalisha wi
Hah hah hah....
Watu wanazaniaga tuna zuka tuu ama tuna chuki, tuna evidence za kutosha ati..
Babu huyoo jaluo ni disaster is worse president in America history pamoja na dunia nzima,Pia kuna clip nyingi sana nimeziona youtube zinasema kuwa Michelle Obama ni 'mwanaume'....!!
Hatari sana video zile....
Babu huyoo jaluo ni disaster is worse president in America history pamoja na dunia nzima,Pia kuna clip nyingi sana nimeziona youtube zinasema kuwa Michelle Obama ni 'mwanaume'....!!
Hatari sana video zile....
Babu huyoo jaluo ni disaster is worse president in America history pamoja na dunia nzima,
We ebu Tazama jinsi gani alivyo izimisha ndoto yetu wa Afrika? [emoji56] [emoji112]
Colonel( kaddafi) [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babu huyoo jaluo ni disaster is worse president in America history pamoja na dunia nzima,
We
Kweli kabisa [emoji817] %
Wala sio uzushi
Mmeisoma hiyo article ya Newsweek au mnarukia mambo kwa kuangalia picha tu?
Fungua clip hiyoMmeisoma hiyo article ya Newsweek au mnarukia mambo kwa kuangalia picha tu?