Kumbe..!! Nilikua sijaelewa miaka yote hii....

Kumbe..!! Nilikua sijaelewa miaka yote hii....

Hizi ni propaganda za wapinzani wake, hasa Wazungu na Wayahudi. Hakuna ukweli wowote. Alipewa kashfa nyingi sana hata Michelle walidai kuwa ni basha, hata watoto wale walisema aliwaasili kutoka Moroko. Ni sura nyingine ya ubaguzi wa rangi.
 

Ni dhana potofu kuwa ukitetea usawa, watu wanadai uko kwenye kundi hilo. Ndiyo maana juzi kati hapa kwetu waliokuwa wanasema haki itendeke kwa watuhumiwa wa 'unga' baadhi ya watu wakaanza kuwazodoa wale kuwa na wenyewe ni wahusika.
 
Fungua clip hiyo
Hakuna mtu mwenye chuki nae umu
Sababu haitosaidi lolote ktk lifestyle yangu, ila tunajaribu ku standings na ukweli halisi wa mambo
Siwezi kufungua clip sasa, what is your point?
 
Sina huo muda kabisa...
Muda unao, ndio maana umeweza kuandika hapa na kujibu.

Huwezi kuelezea kitu ambacho unaniambia nikiangalie. Nitajuaje kwamba unachotaka niangalie kina mantiki na kinafaa kuangaliwa na si utumbo tu?

Wewe mwenyewe huwezi kuelezea unachotaka niangalie, umeshindwa kunipa sababu ya kuangalia, kwa nini unafikiri nitajitaabisha kuacha mambo ninayofanya niangalie?
 
Rekebisha lugha yako au andika lugha unayoijua.

"Are we happened to be enemies" ndiyo lugha gani hiyo?

You don't have what it takes to be my enemy. Do not flatter yourself.
Never minds mkuu naona una hasira na mheshimiwa...yaishe kama nimekukwaza [emoji111]
 
Back
Top Bottom