Kumbe ni Malaika

Kumbe ni Malaika

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,925
Mtoto mdogo wa kiume kamsimulia mamaye: Mama, unafahamu kuwa dada(house girl) kumbe ni malaika? MAMA: kwa nini unasema hivyo? MTOTO: nilimwona akiwa u.c.h.i mikono ameshika ukutani akisema "mungu wangu nakuja, nakuja, nakuja" kama baba asingekuwa amemshikilia kwa nguvu kwa nyuma angeweza kupaa juu mbinguni!
 
huh..................ah haaaa haaaaaaaaaaaaaaaaa,u med my day,hebu nlale ssa
 
kwi kwi kwi kwiiii, mtoto kaharibu chakula ya baba tayari
 
hahahahahah lol..
Ni ajabu jinsi watoto wanavyofikiri...
 
huyo mtoto ni wa wakati wa kikwete au nyerere maana watoto wengine nuksi ile mbaya.......mambo gan sasa hayo hata hachuni
 
huyo mtoto ni wa wakati wa kikwete au nyerere maana watoto wengine nuksi ile mbaya.......mambo gan sasa hayo hata hachuni
Hajui nini kilichokuwa kinaendelea.
 
Mtoto mdogo wa kiume kamsimulia mamaye: Mama, unafahamu kuwa dada(house girl) kumbe ni malaika? MAMA: kwa nini unasema hivyo? MTOTO: nilimwona akiwa u.c.h.i mikono ameshika ukutani akisema "mungu wangu nakuja, nakuja, nakuja" kama baba asingekuwa amemshikilia kwa nguvu kwa nyuma angeweza kupaa juu mbinguni!

"kama baba asingekuwa amemshikilia kwa nguvu kwa nyuma angeweza kupaa juu mbinguni" hahahaaaaaaaa... Lol! What an angel.. Mama lazima alizimia bila shaka..
 
Back
Top Bottom