dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,131
- 49,392
Akihojiwa na the Daily Nation, Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete amesema Tanzania inaunga mkono hatua za kijeshi za Kenya huko Somalia ili kujilinda dhidi ya Al-Shabaab. Source: JF twitter.
Hii maana yake unapomuunga mkono adui wa rafiki yako maana yake automatically unakuwa adui wa adui wa rafiki yako pia. Hivyo, kwa maana nyingine indirectly tumetangaza vita na Al-Shabaab.
Pengne pia kauli hii ya Rais imekuja ili ku-support kauli ya Kova kuhusu kufuta maandamano yaliyokuwa yafanyike kupinga kulipwa DOWANS. Anyway, mbinu za kisiasa ni nyingi.
Hii maana yake unapomuunga mkono adui wa rafiki yako maana yake automatically unakuwa adui wa adui wa rafiki yako pia. Hivyo, kwa maana nyingine indirectly tumetangaza vita na Al-Shabaab.
Pengne pia kauli hii ya Rais imekuja ili ku-support kauli ya Kova kuhusu kufuta maandamano yaliyokuwa yafanyike kupinga kulipwa DOWANS. Anyway, mbinu za kisiasa ni nyingi.