Kumbe Nchi Iko Vitani na Al-Shabaab

dudus

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
21,988
48,939
Akihojiwa na the Daily Nation, Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete amesema Tanzania inaunga mkono hatua za kijeshi za Kenya huko Somalia ili kujilinda dhidi ya Al-Shabaab. Source: JF twitter.

Hii maana yake unapomuunga mkono adui wa rafiki yako maana yake automatically unakuwa adui wa adui wa rafiki yako pia. Hivyo, kwa maana nyingine indirectly tumetangaza vita na Al-Shabaab.

Pengne pia kauli hii ya Rais imekuja ili ku-support kauli ya Kova kuhusu kufuta maandamano yaliyokuwa yafanyike kupinga kulipwa DOWANS. Anyway, mbinu za kisiasa ni nyingi.
 
pilipili usiyoitafuna yakuwashia nini?!! kauli zingine tuziangalie la sivyo zitatuweka matatani.
 
Ni kituko cha aina yake yaani Watanzania wanatishwa na Al Shabaaby na serikali inakubali? Kwa maana nyingine ni kwamba Serikali ya Tanzania ilikubaliana na serikali ya Kenya wapeleke majeshi huko Somalia.

Lengo hapa ni kuwapa furusu Al shabaab kuingia nchini tena wanaweza kusaidiwa na serikali ili kuwatisha Watanzania. Hii ni nini maana yake, ni kuwa Serikali ya Tanzania inajua mahali na sehemu ambapo imewahifadhi Al Shabaaby hapa nchini. Serikali itakuwa tayari kuwasaidia Al shaababy kutekeleza mashambulizi yao.

Watanzania kuweni macho, CCM ni Al Shaababy ya Tanzania. Ukweli unajieleza wenyewe kuhusu viongozi wa Serikali kukumbatia makundi ya kihalifu ili kubaka demokrasia nchini.

Hii ni hatari sana.
 
Hapa ndipo Dr. amefikia, ndo uwezo wake jamani wa kujibu maswali, hivi kuna la kushangaa kwenye matamshi ya JK!!!
 
Hayo ndo ya kujipendekeza kwa watu, kama kweli unasapoti si na wewe upeleke wanajeshi au .....?

Magamba wanataka kututoa ktk mode ili walipe DOWANS.
 
Akihojiwa na the Daily Nation, Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete amesema Tanzania inaunga mkono hatua za kijeshi za Kenya huko Somalia ili kujilinda dhidi ya Al-Shabaab. Source: JF twitter.

Hii maana yake unapomuunga mkono adui wa rafiki yako maana yake automatically unakuwa adui wa adui wa rafiki yako pia. Hivyo, kwa maana nyingine indirectly tumetangaza vita na Al-Shabaab.

Pengne pia kauli hii ya Rais imekuja ili ku-support kauli ya Kova kuhusu kufuta maandamano yaliyokuwa yafanyike kupinga kulipwa DOWANS. Anyway, mbinu za kisiasa ni nyingi.

Wewe vipi, kwa hiyo ulitaka rais aunge mkono Al-shaabab? Jamani, mambo gani haya. Ushabiki gani huu. Tanzania tujihadhari na watu wa aina hii ambao hawana uzalendo. Sote tuunge mkono kauli hiyo ya Rais. wote tuwe walinzi popote pale tunapotembea. Inawezekana kabisa Al-Shaabab wakawa na vibaraka nchini, wote hao tuwaumbue, tuwe kitu kimoja katika hili bila kujali tofauti zetu za kichama, kidini na hata kijamii
Tukumbuke wanaoathirika sana na matukio haya ni wazee, watoto, walemavu na wanawake. Tusifike huko. Aidha ni lazima tuwekane wazi kwamba GAIDI hachagui wewe ni adui yake au la, lengo lake ni kutimiza azma yao popote pale. JK tunaungana na wewe kulinda nchi yetu kwa gharama yoyote.
Mungu Ibariki Tanzania, tuepushe na wenye wivu na amani yetu
 
Na inaashiria "Intelijensia" ya Kova inasema al shababy wapo hapa Dar na nimemsikia Manumba DCI akizungumza na BBC kuwa "ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji" sijui alimaanisha Kenya au Libya
 
Mbona nasikia Waingereza wanatutuhumu kuwa tuna wahost Al Shabbab?

chanzo gani hizo?. Tuache mambo ya kughushi yahana maana yoyote kwetu. Tuunge mkono juhudi zozote zitakazoiweka nchi yetu katika amani na siyo ushabiki wa kisiasa, katika hili siasa hazina nafasi
 
Ni kituko cha aina yake yaani Watanzania wanatishwa na Al Shabaaby na serikali inakubali? Kwa maana nyingine ni kwamba Serikali ya Tanzania ilikubaliana na serikali ya Kenya wapeleke majeshi huko Somalia.

Lengo hapa ni kuwapa furusu Al shabaab kuingia nchini tena wanaweza kusaidiwa na serikali ili kuwatisha Watanzania. Hii ni nini maana yake, ni kuwa Serikali ya Tanzania inajua mahali na sehemu ambapo imewahifadhi Al Shabaaby hapa nchini. Serikali itakuwa tayari kuwasaidia Al shaababy kutekeleza mashambulizi yao.

Watanzania kuweni macho, CCM ni Al Shaababy ya Tanzania. Ukweli unajieleza wenyewe kuhusu viongozi wa Serikali kukumbatia makundi ya kihalifu ili kubaka demokrasia nchini.

Hii ni hatari sana.

unafikiria kimasaburi saburi type...
 
Jamani mimi binafsi nikisikia tu habari za Al-shabaab naweweseka. Hili suala si la kutolea tamko. Wakisikia tuwabebea mbeleko gani hawa. Tungewaacha wapigwe kimya kimya na hao Wakenya na Wamarekani kama tulivyo kaa kimya wakati Gaddafi anapigwa. Afadhali tungesema wakati wa Gaddaffi.
 
serikali ya somalia imewashindwa hao so-called al-shabaaby sijui,watz na shida zote tulizonazo bado tunawatafuta,tukilipuliwa ndo tutaelewa somo eeh?...kusema rahisi kweli,...wahenga wanasema 'kupanda mchongoma,kushuka ndio ngoma'...tunajaribu kuupanda huo mchongoma,tutaweza kushuka kweli?...
 
Wewe vipi, kwa hiyo ulitaka rais aunge mkono Al-shaabab? Jamani, mambo gani haya. Ushabiki gani huu. Tanzania tujihadhari na watu wa aina hii ambao hawana uzalendo. Sote tuunge mkono kauli hiyo ya Rais. wote tuwe walinzi popote pale tunapotembea. Inawezekana kabisa Al-Shaabab wakawa na vibaraka nchini, wote hao tuwaumbue, tuwe kitu kimoja katika hili bila kujali tofauti zetu za kichama, kidini na hata kijamii
Tukumbuke wanaoathirika sana na matukio haya ni wazee, watoto, walemavu na wanawake. Tusifike huko. Aidha ni lazima tuwekane wazi kwamba GAIDI hachagui wewe ni adui yake au la, lengo lake ni kutimiza azma yao popote pale. JK tunaungana na wewe kulinda nchi yetu kwa gharama yoyote.
Mungu Ibariki Tanzania, tuepushe na wenye wivu na amani yetu
Na wewe nawe akili yako imekupeleka huko kumuunga mkono raisi kwamba Alshabaab ni tishio kwa Tanzania pia.
Hawa Alshabaab wana jeshi na silaha kiasi gani kiasi kwamba Ethiopia,Kenya,Uganga,Burundi na sasa Tanzania wako vitani nao.
Nyinyii! wacheni fitna na chokochoko mchokoe pweza binadamu atakushinda.
Umesema wanaoathirika ni wanawake,watoto na walemavu na wazee.Hizi ni lugha za kisiasa na za kipropaganda.Huko Kenya na mabwana zake wanakopiga mabomu kwani ni nani wengine wasioathirika na mabomu yao muda huu.Au ubaya ni kuathirika makundi hayo ya kitanzania pekee.
 
Ni kituko cha aina yake yaani Watanzania wanatishwa na Al Shabaaby na serikali inakubali? Kwa maana nyingine ni kwamba Serikali ya Tanzania ilikubaliana na serikali ya Kenya wapeleke majeshi huko Somalia.

Lengo hapa ni kuwapa furusu Al shabaab kuingia nchini tena wanaweza kusaidiwa na serikali ili kuwatisha Watanzania. Hii ni nini maana yake, ni kuwa Serikali ya Tanzania inajua mahali na sehemu ambapo imewahifadhi Al Shabaaby hapa nchini. Serikali itakuwa tayari kuwasaidia Al shaababy kutekeleza mashambulizi yao.

Watanzania kuweni macho, CCM ni Al Shaababy ya Tanzania. Ukweli unajieleza wenyewe kuhusu viongozi wa Serikali kukumbatia makundi ya kihalifu ili kubaka demokrasia nchini.

Hii ni hatari sana.
Mkuu unaona mbali!

I was thinking the same.Wanasema "kihere here" na mambo mengine,lakini hawajui wameingizwa mkenge.

Hakuna kitu serikali inachopenda kama kuwaingiza hofu wananchi.Watatumia tactic ambayo nchi kama marekani walishawahi kulaumiwa nayo...Ya "fear mongering"

Especially walipokuwa wakiambiwa kuwa wanatumia issue ya Alkaeda kuwasahaulisha wananchi kuhusu domestic issues kama economy etc.

Sitashangazwa mafisadi wakiiga sepecially this time ambapo inaonekana serikali yao ina collapse na uchumi ukielekea kaburini.

Umeme hamna,mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilling si jambo la kubeza kwa serikali yoyote iliyopo madarakani.

Tena wakizidiwa wanaweza kupandikizaa shambulizi wao wenyewe,same thing kama wanavyolaumiwa wengine kuhusu kupandikiza mashambulizi.

Hawa mafisadi siwaamini kabisa , wanaweza kufanya lolote ili tu waendelee kubaki madarakani kwasababu wanajuwa mwisho wao hautakuwa mzuri endapo watakuwa hawana grip on power.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom