Kamanda wa vitani wa Hizbullah: Tumejiweka tayari kuingia Israel na kuuteka mji wa Al-Jalil

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
2,648
3,938

Nov 03, 2023 03:29 UTC

  • 1698987054937.png
Kamanda mmoja wa vitani wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon aliyekutana na ujumbe wa vyombo vya habari vya Iran, ameelezea hali ya hivi karibuni ya kambi ya Muqawama katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni kwa kueleza kwamba: "Hizbullah ya Lebanon inajihisi ina wajibu wa kujitokeza kwenye uwanja wa mapambano na hivi sasa tuko kwenye medani ili kueleza kwamba Palestina haiko peke yake".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameashiria mpaka wa Lebanon wenye urefu wa kilomita 70 uliopakana na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na akasema: Sasa hivi hapa nyuma ya mpaka, sisi tuko tayari kwa vita vya pande zote. Moja ya malengo yetu bayana na ya wazi kabisa lilikuwa ni kuuelekeza utawala wa Kizayuni upande wa kaskazini ili watume kuleta upande wetu sehemu ya vikosi vyake na nguvu yake kutoka Gaza, na lengo hili muhimu limefikiwa".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameendelea kueleza kwamba: "sasa hivi utawala wa Kizayuni umeweka brigedi tatu za majeshi mbele yetu na kuunda tabaka tatu za ulinzi, lakini kama tutapokea amri ya kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, tutayasambaratisha matabaka yote matatu".

Ameongeza kuwa: "sasa hivi tuko kwenye mapigano na Wazayuni na tumeshatokomeza baadhi ya vifaa na teknolojia na bila shaka hata nguvu zao."
4bk6a8ef7a94329aag_800C450.jpg
Wanamuqawama wa Hizbullah

Kamanda huyo wa Hizbullah amebainisha kwa kusema: "Tumejiweka tayari kwa nguvu zetu zote; tumefanya mazoezi ya kuingia katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na kuliteka kikamilifu eneo la Al-Jalil; tunao mpango wa operesheni hiyo na tunachongojea ni amri tu".

Amefafanua zaidi kwa kusema: "tumeshazitambua sehemu zote zilizpowekwa Ngao za Chuma na tutazishambulia zote siku ya mapambano. Walikuwa wakidhani hatungeweza kuvipiga vifaru vya Merkava, lakini sasa tumefikia kuwa na teknolojia na ubunifu wa kuviripua vifaru hivyo katika awamu mbili kwa makombora ya Cornet. Kama vita vitaanza kwa maana ya sisi kushambulia kwa ardhini, vifaru vya Merkava itabidi vifichwe".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameongezea kwa kusema: "tukipokea amri, tutazipiga manowari zote ambazo hivi karibuni zimetoa msaada kwa utawala wa Kizayuni au zimejitokeza kuulinda. Hatusemi tutazipiga vipi na kwa silaha gani lakini kila mtu ataona pale itakapohitajika".../
 
Yaani mji huo wa kiisraeli wameuteka kwenye vyombo vya habari vya Iran na siyo kuingia vitani na kuukalia mji huo kwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Malaria, naona unaumwa ustaadh acha kuangaika na waoga wa vita, nikushauri bora uende Gaza na Lebanon kuongeza nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwambie, IDF tayari wameshazunguka mji wa Gaza, watu hawajui lengo lao ni nini so endeleeni kutikisa viuno hapo mpakani na kuota ndoto za mchana kuteka mji Israel, vita siyo kufuga ndevu shekhe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani mji huo wa kiisraeli wameuteka kwenye vyombo vya habari vya Iran na siyo kuingia vitani na kuukalia mji huo kwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Malaria, naona unaumwa ustaadh acha kuangaika na waoga wa vita, nikushauri bora uende Gaza na Lebanon kuongeza nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwambie, IDF tayari wameshazunguka mji wa Gaza, watu hawajui lengo lao ni nini so endeleeni kutikisa viuno hapo mpakani na kuota ndoto za mchana kuteka mji Israel, vita siyo kufuga ndevu shekhe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani mji huo wa kiisraeli wameuteka kwenye vyombo vya habari vya Iran na siyo kuingia vitani na kuukalia mji huo kwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Malaria, naona unaumwa ustaadh acha kuangaika na waoga wa vita, nikushauri bora uende Gaza na Lebanon kuongeza nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwambie, IDF tayari wameshazunguka mji wa Gaza, watu hawajui lengo lao ni nini so endeleeni kutikisa viuno hapo mpakani na kuota ndoto za mchana kuteka mji Israel, vita siyo kufuga ndevu shekhe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani mji huo wa kiisraeli wameuteka kwenye vyombo vya habari vya Iran na siyo kuingia vitani na kuukalia mji huo kwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Malaria, naona unaumwa ustaadh acha kuangaika na waoga wa vita, nikushauri bora uende Gaza na Lebanon kuongeza nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwambie, IDF tayari wameshazunguka mji wa Gaza, watu hawajui lengo lao ni nini so endeleeni kutikisa viuno hapo mpakani na kuota ndoto za mchana kuteka mji Israel, vita siyo kufuga ndevu shekhe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani mji huo wa kiisraeli wameuteka kwenye vyombo vya habari vya Iran na siyo kuingia vitani na kuukalia mji huo kwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Malaria, naona unaumwa ustaadh acha kuangaika na waoga wa vita, nikushauri bora uende Gaza na Lebanon kuongeza nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwambie, IDF tayari wameshazunguka mji wa Gaza, watu hawajui lengo lao ni nini so endeleeni kutikisa viuno hapo mpakani na kuota ndoto za mchana kuteka mji Israel, vita siyo kufuga ndevu shekhe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Itakua unatiza CNN au BBC au unasikiliza clip za Mwampsa. Ukiangalia free media. Utaona Isreal inapovyoteketea
1698987930663.png
 
Wanachonifurahisha, hizbollah ni kuwatangazia kimbembe kinachokuja, hii hata 2006 walipomtandika Myahudi Nusrallah (kamanda wa hizbullah) alikuwa anawaambia kesho tunafanya hivi, anatimiza miadi yake.

Siku tatu nyuma aliwaambia ijumaa tunawatandika, basi kweli, kuingia usiku wa ijumaa tu, wakawashushia vitu ambavyo iron dome haikuviona:

 
Yaani mji huo wa kiisraeli wameuteka kwenye vyombo vya habari vya Iran na siyo kuingia vitani na kuukalia mji huo kwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Malaria, naona unaumwa ustaadh acha kuangaika na waoga wa vita, nikushauri bora uende Gaza na Lebanon kuongeza nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwambie, IDF tayari wameshazunguka mji wa Gaza, watu hawajui lengo lao ni nini so endeleeni kutikisa viuno hapo mpakani na kuota ndoto za mchana kuteka mji Israel, vita siyo kufuga ndevu shekhe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa zako Wayahudi washaanza kuchanganyikiwa wanatwangana wenyewe sasa hivi:



Cheza na nguvu ya dua wewe?
 

Nov 03, 2023 03:29 UTC

Kamanda mmoja wa vitani wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon aliyekutana na ujumbe wa vyombo vya habari vya Iran, ameelezea hali ya hivi karibuni ya kambi ya Muqawama katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni kwa kueleza kwamba: "Hizbullah ya Lebanon inajihisi ina wajibu wa kujitokeza kwenye uwanja wa mapambano na hivi sasa tuko kwenye medani ili kueleza kwamba Palestina haiko peke yake".
Kamanda huyo wa Hizbullah ameashiria mpaka wa Lebanon wenye urefu wa kilomita 70 uliopakana na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na akasema: Sasa hivi hapa nyuma ya mpaka, sisi tuko tayari kwa vita vya pande zote. Moja ya malengo yetu bayana na ya wazi kabisa lilikuwa ni kuuelekeza utawala wa Kizayuni upande wa kaskazini ili watume kuleta upande wetu sehemu ya vikosi vyake na nguvu yake kutoka Gaza, na lengo hili muhimu limefikiwa".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameendelea kueleza kwamba: "sasa hivi utawala wa Kizayuni umeweka brigedi tatu za majeshi mbele yetu na kuunda tabaka tatu za ulinzi, lakini kama tutapokea amri ya kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, tutayasambaratisha matabaka yote matatu".

Ameongeza kuwa: "sasa hivi tuko kwenye mapigano na Wazayuni na tumeshatokomeza baadhi ya vifaa na teknolojia na bila shaka hata nguvu zao."
4bk6a8ef7a94329aag_800C450.jpg
Wanamuqawama wa Hizbullah
Kamanda huyo wa Hizbullah amebainisha kwa kusema: "Tumejiweka tayari kwa nguvu zetu zote; tumefanya mazoezi ya kuingia katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na kuliteka kikamilifu eneo la Al-Jalil; tunao mpango wa operesheni hiyo na tunachongojea ni amri tu".

Amefafanua zaidi kwa kusema: "tumeshazitambua sehemu zote zilizpowekwa Ngao za Chuma na tutazishambulia zote siku ya mapambano. Walikuwa wakidhani hatungeweza kuvipiga vifaru vya Merkava, lakini sasa tumefikia kuwa na teknolojia na ubunifu wa kuviripua vifaru hivyo katika awamu mbili kwa makombora ya Cornet. Kama vita vitaanza kwa maana ya sisi kushambulia kwa ardhini, vifaru vya Merkava itabidi vifichwe".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameongezea kwa kusema: "tukipokea amri, tutazipiga manowari zote ambazo hivi karibuni zimetoa msaada kwa utawala wa Kizayuni au zimejitokeza kuulinda. Hatusemi tutazipiga vipi na kwa silaha gani lakini kila mtu ataona pale itakapohitajika".../
Naona umeandika taarifa yako kwa msaada wa google.... sio kwa ugumu huu wa kuielewa!
 

Nov 03, 2023 03:29 UTC

Kamanda mmoja wa vitani wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon aliyekutana na ujumbe wa vyombo vya habari vya Iran, ameelezea hali ya hivi karibuni ya kambi ya Muqawama katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni kwa kueleza kwamba: "Hizbullah ya Lebanon inajihisi ina wajibu wa kujitokeza kwenye uwanja wa mapambano na hivi sasa tuko kwenye medani ili kueleza kwamba Palestina haiko peke yake".
Kamanda huyo wa Hizbullah ameashiria mpaka wa Lebanon wenye urefu wa kilomita 70 uliopakana na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na akasema: Sasa hivi hapa nyuma ya mpaka, sisi tuko tayari kwa vita vya pande zote. Moja ya malengo yetu bayana na ya wazi kabisa lilikuwa ni kuuelekeza utawala wa Kizayuni upande wa kaskazini ili watume kuleta upande wetu sehemu ya vikosi vyake na nguvu yake kutoka Gaza, na lengo hili muhimu limefikiwa".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameendelea kueleza kwamba: "sasa hivi utawala wa Kizayuni umeweka brigedi tatu za majeshi mbele yetu na kuunda tabaka tatu za ulinzi, lakini kama tutapokea amri ya kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, tutayasambaratisha matabaka yote matatu".

Ameongeza kuwa: "sasa hivi tuko kwenye mapigano na Wazayuni na tumeshatokomeza baadhi ya vifaa na teknolojia na bila shaka hata nguvu zao."
4bk6a8ef7a94329aag_800C450.jpg
Wanamuqawama wa Hizbullah
Kamanda huyo wa Hizbullah amebainisha kwa kusema: "Tumejiweka tayari kwa nguvu zetu zote; tumefanya mazoezi ya kuingia katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na kuliteka kikamilifu eneo la Al-Jalil; tunao mpango wa operesheni hiyo na tunachongojea ni amri tu".

Amefafanua zaidi kwa kusema: "tumeshazitambua sehemu zote zilizpowekwa Ngao za Chuma na tutazishambulia zote siku ya mapambano. Walikuwa wakidhani hatungeweza kuvipiga vifaru vya Merkava, lakini sasa tumefikia kuwa na teknolojia na ubunifu wa kuviripua vifaru hivyo katika awamu mbili kwa makombora ya Cornet. Kama vita vitaanza kwa maana ya sisi kushambulia kwa ardhini, vifaru vya Merkava itabidi vifichwe".

Kamanda huyo wa Hizbullah ameongezea kwa kusema: "tukipokea amri, tutazipiga manowari zote ambazo hivi karibuni zimetoa msaada kwa utawala wa Kizayuni au zimejitokeza kuulinda. Hatusemi tutazipiga vipi na kwa silaha gani lakini kila mtu ataona pale itakapohitajika".../
Gaza imezungukwa kikamilifu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hii Ni habari ya urongo. Kwenye Vita hata siku moja majemadari hawawezi kuweka bayana ssiri zao. Hapo Ni kwamba amewataarifu waisrael kwamba watavamiwa.
Silaha kubwa kwenye Vita Ni kum SURPRISE adui. Otherwise apige simu tel Aviv awaambie mipango ya Hizbullah.
 
Back
Top Bottom