nimechukizwa sana kusikia jina la mwigulu kwenye timu ya yanga leo naapa sitaki tena yanga hili jitu nalichukia kama ibilisi...
Huna madhara wewe..
nimechukizwa sana kusikia jina la mwigulu kwenye timu ya yanga leo naapa sitaki tena yanga hili jitu nalichukia kama ibilisi...
mimi narudi Ashanti chama langu la zamani
siwezi kua na Mwigulu timu moja hata mbinguni likienda peponi ntaomba Mungu anipeleke kuzimu
Hivi yule aliyevaa jezi namba 4 kwa yanga ni nani...??Nilikuwa siamini macho yangu kumuona Mwigulu Nchemba akisakata kabumbu akiwa amevaa jezi ya Yanga No. 10. Amecheza vizuri sana, laiti angekuwa anafanya siasa vizuri kama anavyocheza kandanda, wala asingekuwa Monsterized!
Mwigulu ni mwanachama wa JF na wewe ni mwanachama pia, hama sasa!
mtoto wa mdogo wangu alikufa kwenye bomu soweto na Mwigulu ndo amevaa kofia ya mahali bomu lilipotengenezwa nime connect i hate him zaidi ya shetani nae pia ajipange silali kabisa.......
Mwigulu ni mchezji mzuri akipata mazoezi, sikuelewa mtu na akili timamu ilikuwaje alitaka kucheza na skafu, lakn nilishasema hapa kwa jinsi ninavyochukia Yanga hata MACHUNGWA HUWA SILI, sasa ukichanganya na Mwigulu...........lahaulaaaaaa
Ccm +yanga =tanzania