Kumbe Mwigulu ana mazuri yake!

Kumbe Mwigulu ana mazuri yake!

watamchukia mwigulu lakini umuhimu wake watauona tu ngoja wakati ufike.
 
siwezi kua na mwigulu timu moja hata mbinguni likienda peponi ntaomba Mungu anipeleke kuzimu

Kwanza huyo azam mwenyewe ni mpenzi wa s...a

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Alikuwa na bomu mfukoni ila hakupata muda mzuri kulipua!
 
watamchukia mwigulu lakini umuhimu wake watauona tu ngoja wakati ufike.

wa kunywa damu za watu mwambie pia yeye ajiandae....mtoto wangu hawezi kufa kama ndege mwambie ajiandae narudia ajiandae ......hakika ajiandae naapa ajiandae tu...
ajiandae tu mwisho na malizia ajiandae .....ajiandae na kofia yake damu itatokea kwenye kofia sehemu ya red..
 
Hivi kweli hii ndio thread ya kuleta hapa jamvini tuijadili? MoDS tafadhali ondoa huu upuuzi na uchafu itajaza nafasi bure.
Nawewe elimika basi japo kidogo, ukiona thread hapa si mahali pake wajurishe mods kwa kubonyeza kitufe cha report abuse na itaondlowa baada ya muda mfupi.

Haya ngoja nikusaidia kuundoa huu uchafu hapa jukwaa la siasa.
 
Nilikuwa siamini macho
yangu kumuona Mwigulu Nchemba akisakata kabumbu akiwa amevaa jezi ya
Yanga No. 10. Amecheza vizuri sana, laiti angekuwa anafanya siasa vizuri
kama anavyocheza kandanda, wala asingekuwa Monsterized!

Inzi hata aruke angani mbali kiasi gani amalize mbingu saba! atabaki kuwa Inzi tu hawezi kugeuka ndege. Mbwa kuzaliwa katika banda la farasi haimaanishi kuwa nae ni farasi. Mbwa ni Mbwa tu!
 
Nilikuwa siamini macho yangu kumuona Mwigulu Nchemba akisakata kabumbu akiwa amevaa jezi ya Yanga No. 10. Amecheza vizuri sana, laiti angekuwa anafanya siasa vizuri kama anavyocheza kandanda, wala asingekuwa Monsterized!

Unafikiri shetani alipomwambia YESU kugeuza jiwe kuwa mkate ni kwa sababu alihuzunishwa na njaa ya YESU?!
Shetani hugeuka malaika wa nuru ili awanase wenye imani haba!
Mwigulu ni shetani hata kama angaliwahudumia yatima.
 
Mkuu kwa jinsi mwigulu alivyo katili najua hawezi uona ufalme wa Mungu na kukaa pamoja na mie peponi, huyu jehanamu inamgoja
Duh!ebu mkuu achana na hiyo habari ya pepo na kuzimu!acha kabisaaaaa!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wanaomponda Mwigulu Nchemba wanachuki ya kupoteza mchezo wa leo, wengine wanachanganya soka na siasa. Mimi nilifarijika kuona Ngeleja na Kigwangala wamevaa jezi nyekundu, haya majamaa siyapendi naturally.
 
Back
Top Bottom