Kumbe Mwigulu ana mazuri yake!

Kumbe Mwigulu ana mazuri yake!

Usichukuizwe hawa ni watu wa kupita YANGA ina mengi ya kujivuni Ritz au Mwigulu hawawezi kuwa ndio msingi wa YANGA iliyanzishwa mwaka 1936, Mwigulu ana nafasi gani ya kukuteteresha wewe ...Historia ya yanga naamini inazidi hata ya Mzazi wa Mwigulu na Ritz kwa pamoja hawa wana nafasi gani ktk historia ya YANGA ? hawana hata thubutu ya kuitia doa YANGA.
 
Nilikuwa siamini macho yangu kumuona Mwigulu Nchemba akisakata kabumbu akiwa amevaa jezi ya Yanga No. 10. Amecheza vizuri sana, laiti angekuwa anafanya siasa vizuri kama anavyocheza kandanda, wala asingekuwa Monsterized!

#mod،s, dustbin limejaa?
 
Mwgulu huwa anaichafua chadema kwa kusud la kukijenga chama chake cha ccm pia lema huwa anaandamana ili kukijenga chama chake cha chadema hvyo lema na mwgulu ngoma droo ><ccm na cdm ngoma droo mstarajie mwgulu aitakie mema cdm au slaa aitakie mema ccm ni sawa na obama kuitakia mema republc ya bush k2 ambacho hakwezekan kumchukia mwgulu kwa kuktetea chama chake ni kosa /ukchaa ni kuflska ksiasa
 
We ni sawa na malaya!
Jirekebishe mkuu.
Kwahiyo mwigulu huyohuyo akija na huko Azam unahama tena?
Yanga haina shabiki 'kubwa jinga' kama wewe.

siwezi kua na Mwigulu timu moja hata mbinguni likienda peponi ntaomba Mungu anipeleke kuzimu
 
Mkuu punguza hasira mambo ya mpira na siasa ni tofauti!
nimechukizwa sana kusikia jina la mwigulu kwenye timu ya yanga leo naapa sitaki tena yanga hili jitu nalichukia kama ibilisi...
 
Unalako jambo tu!... Mwigulu ameikuta YANGA na tena ataiacha!... Ni sawa na JF ambayo mwigulu ni memba lakini si mmiliki. Kwa nini usiiache na JF?!!!... Mwanaume hakimbii matatizo.. Mwigulu ni JANGA, siyo YANGA!

hayo ni maamuzi yangu binafsi yaheshimiwe mi sio kikundi...
 
Viva kijana mwigulu. Watu wakiskia jina lako matumbo yanawavuruga na wengine wanwimgia mwezini
 
Ok. Safiri salama, hata nami naichukia sana Yanga kutokana na majezi yao ya ki-CCM, ila maswala ya uchama na ukanda nchi tunailekeza kusiko. Mimi namchukia mwikulu nchemba, nikimuona hata kwenye tv nasikia kichefu chefu, ila Yanga ni timu yangu daima, Mwigulu ataondoka ataniacha hapo hapo Yanga. Nyoka akiingia nyumbani mwako chumbani unako lala, utamuua ama utamwachia nyumba huyo nyoka andelee kuishi kwenye nyumba yako?
 
Ok. Safiri salama, hata nami naichukia sana yanga kutokana na majezi yao ya kiccm, ila maswala ya uchama na ukanda nchi tunailekeza kusiko. Mimi namchukia mwikulu nchemba, nikimuona hata kwenye tv nasikia kichefu chefu, ila yanga ni timu yangu daima, mwikulu ataondoka ataniacha hapo hapo yanga. Nyoka akiingia nyumbani mwako chumbani unako lala, utamuua ama utamwachia nyumba huyo nyoka andelee kuishi kwenye nyumba yako?

asante kwa ushauri we ni simba .. endelea na timu yako mkuu..naheshimu kauli yako sana sikushauri uhame hapo ulipo iwe CCM Yanga CHADEMA CUF au popote ila naweza ......
 
ulikuwa hujui? Mwigulu ni mtu mzuri sana,wasiojitambua ndio kila siku kelele kuhusu mwigulu
WEWE BUREEE KABISAAA HUJITAMBUI Ukweli ni kuwa Mwingulu is EVIL, DEVIL AND SOCIALPATHIC VAMPERE PERRRRIOOODDDD!!!!!!!!!!!!!
 
Hamia Simba

siwezi nina miaka ishirini niko yanga mkuu... bora niende hii mpya..ni mtazamo wangu sipendi kumkwaza mtu ni maamuzi yangu naomba yaheshimiwe...jf. pia iheshimiwe...
 
hapo yanga wajiandae kuhamwa na kuzomewa na mashabiki,km ni kweli anajihusisha na timu moja kwa moja imekula kwao

watu dizaini yako ni ushamba tu unawasumbua.mbona jk/riz1 ni mamluki wa yanga mbona hausemi au coz wanawafanyiaga upendeleo?afu siwapendi kama shetani coz huwa wanatufanyia hila sana simba kwenye issue za usajili.tukipeleka siasa kwenye kila jambo nchi hii haitaenda coz huko kwenye familia zetu sio wote ni cdm au unataka kunambia unaweza telekeza familia yako ukigundua wanamsapoti mwigulu?acha upoyoyo
 
siwezi kua na mwigulu timu moja hata mbinguni likienda peponi ntaomba Mungu anipeleke kuzimu

Duh!ebu mkuu achana na hiyo habari ya pepo na kuzimu!acha kabisaaaaa!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
WEWE BUREEE KABISAAA HUJITAMBUI Ukweli ni kuwa Mwingulu is EVIL, DEVIL AND SOCIALPATHIC VAMPERE PERRRRIOOODDDD!!!!!!!!!!!!!

asante kwa kuchangia uzi wangu.... kesho u get my like niko kw kamchina kwa sasa....
 
Back
Top Bottom