Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Mhh... Mtoto una gubu wewe... !!!
Hahahahaa
Mhh... Mtoto una gubu wewe... !!!
Hahahahaaaa, chezea professional gold digger wewe?
Zari ni balaa yule mwanamke.
Yani ilikua ivii, Zari baada ya kutemwa na Ivan kwa uma.laya wake wa kushindwa kukilinda kitumbua cha mzee, akapata kakijana fulani.Kakijana kakaja kuwa mbali.kama ilivo ada ya Zarina, huwa hawezi kupitisha masaa bila dudu.Akaingia skype, kakijana kake upande wa pili kanamrecord bebii goo bebii cuum...huku mama ya watatu anajitia jiti la plastic huku kalainiiika kama mrenda.
Ile ni tutorial kwa wote wenye ukame.
Mie tena hahaahaaa yule huwaga ni shoga yangu kitambo yaani sasa nilienda kama shostito si unajua ukienda kwa mzazi huulizwi nikaingia "oooohh shost hongela mama maana ulivyosemwa nikahisi utazaa fenesi oooww jaman kumbe katoto kazuri ivi... mweeeeeee kumbe umbea tuu"
Bola ata shoga angu yule hayupo humu maana sijui angenihisi
Umeniquote mimi badala ya freeland
Yani ilikua ivii, Zari baada ya kutemwa na Ivan kwa uma.laya wake wa kushindwa kukilinda kitumbua cha mzee, akapata kakijana fulani.Kakijana kakaja kuwa mbali.kama ilivo ada ya Zarina, huwa hawezi kupitisha masaa bila dudu.Akaingia skype, kakijana kake upande wa pili kanamrecord bebii goo bebii cuum...huku mama ya watatu anajitia jiti la plastic huku kalainiiika kama mrenda.
Ile ni tutorial kwa wote wenye ukame.
jamani mambo kama hayo si muende kucheki DNA
ahahahaaa!!majangaa...mbona majangaaaa.....
DNA ilishachekiwa kitambo!!basi tu watu wanaumia fursa ya kua na Platnum wameikosa.
Itakuwa anatufananisha best....mzigo hujaupata bado?
Mzigo nimeshaupata sijui wa kwangu umekwama wapi!ngoja nije PM unielekeze labda nimekosea
Mtoto wa taifa anasubiriwa kwa hamu.
Kaleni malimaoooo...' in gwajimaz vois.
Nyie mnajua dai na zari wameanza kufwanyana lini hadi mkadirie mimba na muda walokutana mfyuuuuu kama walikuwa wanachepukiana je?