Nchi Hii Ijazwe Watu Bado Tuna Mapori Mengi SanaWagalatia wanashangaa marehemu alikuwa na wake wawili๐
Waislam hii ni kawaida alikuwa na nafasi ingine ya wawili.
Nyie ndiyo mmeambiwa marufuku kuona wake wawili๐
Lete Maneno....Samia aliolewa 1978. Akiwa mke wa pili. Inaonekana mke wa kwanza wa mzee hakuzaa maana watoto wote 4 ni wa samia
OopsKaacha wawili kivipi wakati huyu ni mke wa tatu? Au mmoja alijitoa?
TakhbiiiiiirrrrAllah amesema:
โBasi oeni mnaowapenda katika wanawake wawili au watatu au wanne. Lakini mkihofia kuwa hamtaweza kufanya uadilifu, basi mmoja tuโฆโ
โ Qurโan 4:3
Daudi alikuwa na wake kadhaa. (2 Samweli 5:13)
Wala hatujabishaWagalatia wanashangaa marehemu alikuwa na wake wawili๐
Waislam hii ni kawaida alikuwa na nafasi ingine ya wawili.
Nyie ndiyo mmeambiwa marufuku kuona wake wawili๐
Acha tabia za kike, au ni shoga mwenzetu?Huyo Mwingine ni yupi na huyu alikuwa mke wa ngapi?
Yaani Bi mkubwa ni yupi na Bi Mdogo ni nanii?
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Oooh basi sasa.
Hafizi kazaliwa 1946, kaoana na samia 1978.
... Ustaarabu hawana wale wanaoa mke mmoja halafu michepuko mji mzima!Samia Alikuwa ni mke wa pili.
Full Ma uswahili.
Mambo ya ajabu Mno.
Tunaongozwa na watu waswahili mno.
Ustarabu 0.