idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
ila sijaona ambacho ameonngea zaidi ya pumba na ushabiki shabiki tu . badla ya kujadili hoja yeye anajadili watu. angeenda kujiuza na si kuwapiga madongo wenzake. kiukweli anaonekana ni mhuni mhuni tu hana uwezo wowote basi tu.
labda ccm iamue kumbeba.... na hata angefanana na nyerere bado si sifa tunayoitaka.,kama sautu inafanana na nyerer sisi inatusaidia nini? kwan sisi tunataka mwigizaji wa sehemu ya kuongea nyerere wenye movie? aende zake huko ...mhuni mhuni tu chapombe na hajaonge hoja yoyote zaidi ya kufanya ucomedy.
Naona hajamsikiliza toka mwanzo na hujui taratibu za ccm. Na hata akimwaga sera hapo wewe huna uwezo wa kumsimamisha kugombea Urais
Huu ni mkutano wa kutangaza nia na kuomba nafasi ya kugombea Urais kupitia ccm, sio mkutano wa kumwaga sera na kuomba kura.
Subiri apitishwe na ccm kugombea Urais ndio uanze kuhoji sera zake, kumbuka mgombea yoyote anaongozwa na Ilani ya chama.
Au unataka kudanywa kama Wasira anaesema jembe la mkono litakuwa hostoria Tanzania ndani miaka mitano, wakati sasa hivi ni waziri wa kilimo hana mwongozo wowote ule wa maana.
Au unataka sera kama za Mhongo kuwa kila nyumba Tanzania itakuwa na bomba la gesi.?