Kumbe Makongoro anaongea kama baba yake?

Kumbe Makongoro anaongea kama baba yake?

Tuko sawa sawa mkuu,kwetu ni Ukawa ila mpaka sahivi chama cha CCM kina mtu mmoja,Makongoro anajiamini sana,hopefully anaweza hata kama atakuwa ana mapungufu mengine ya kibinadamu,leo hii watanzania tunasumbuliwa na rushwa tu na anahitajika wa kufight rushwa,only that.

Ni kweli kamanda mapungufu ya kibinadamu yapo na hilo halipingiki ila anatofauti kubwa na hawa wengine maana wana ya kibinadamu na mengine ya kishetani maana wanayafanya wakijua kabisa hayapendezi machoni mwa Watanzania.
 
Kuna mambo amezungumza japo kisanii lakini yana umuhimu sana. kubwa kwa nini watangaza nia wanakuja na ilani zao wakati ilani ni ya chama! wasubiri waeleze namna watakavyoitekeleza ilani ya CCM. Pia amesema kuwa kuna vibaka ndani ya CCM kuna wanafiki na jambo hili lina ukweli. anataka hao vibaka na wahuni wawaachie wenye chama chama chao...
 
ila sijaona ambacho ameonngea zaidi ya pumba na ushabiki shabiki tu . badla ya kujadili hoja yeye anajadili watu. angeenda kujiuza na si kuwapiga madongo wenzake. kiukweli anaonekana ni mhuni mhuni tu hana uwezo wowote basi tu.

labda ccm iamue kumbeba.... na hata angefanana na nyerere bado si sifa tunayoitaka.,kama sautu inafanana na nyerer sisi inatusaidia nini? kwan sisi tunataka mwigizaji wa sehemu ya kuongea nyerere wenye movie? aende zake huko ...mhuni mhuni tu chapombe na hajaonge hoja yoyote zaidi ya kufanya ucomedy.

Ukifananisha na Lowasa yupi ameongea cha maana!!!???
huyu jamaa akiacha maneno yake ya mzaha wakati anaongea, ni the best ktk kuongea
Yaani akiongea na ukimwangalia usoni unaona kabisa kuwa anamaanisha nini anachokiongea na anaonekana anamaanisha kile kinachotoka moyoni

Sijui yuko vipi kwenye suala la uchumi ila kwenye kukemea rushwa yuko vzr, kusimamia na maamuzi yuko vzr,
Ila akikaa na washauri wazuri wanaoendeshwa na uzalendo he can make a good presidency

Tatizo la nchi yetu sio uzoefu wala uelewa ni ubinafsi wa viongozi wetu na kutokuwa wazalendo...
tuna viongozi wengi waliosoma vzr na wenye uelewa mkubwa ila ndio hao hao waliotufikisha hapa tulipo!
 
Unatumia vigezo gani kusema mtu anafaa. Yaani kuongea tu kunakufanya uone mtu anafaa. Why are we so cheap..any one can talk. Issue ni track record na manifestos. Hatutaki experiment kwenye uraisi!!!
 
Unatumia vigezo gani kusema mtu anafaa. Yaani kuongea tu kunakufanya uone mtu anafaa. Why are we so cheap..any one can talk. Issue ni track record na manifestos. Hatutaki experiment kwenye uraisi!!!

Yupi unaeona wewe anafaa na ueleze hizo record zake.
 
Tuachane na unafiki jamaa akipewa taasisi yupo vizuri kuliko wenzake
 
Rushwa haihitaj kukemewa... wakemeaji ni wengi sana. wengi sana. na rushwa imefika hapa kwa kuwa inakemewa.... tunataka mtu wa kudhibiti rushwa. kuonekana usoni kuwa anamaanisha anachongea huo ni usanii tu ambao una watu wazur ktk hilo. mbona kikwete anaweza kuongea anakuchekea kumbe moyoni ......... so mwingne anaweza ongea kana kwamba yu serious lakini ukaja kumwona kumbe ni wa kawaida tu. mzaha mzaha hutumbukia usaha... ana mzaha mwingi tena wa kitoto. hatutaki rais wa mizaha kiukweli, tumechoka na mizaha tunataka mtu serious sana. labda next time lakin kwa hapa juz juz hajaongea la maana. anasema yeye itamwongoza ilan ya chama he is lazy... anategemea kudesa tu ? achanganye na za kwake tunataka na yeye kumsikia ana nini kama chake pamoja na ilani ya ccm. ni uvivu wa kufikiri kusema yeye hana kitu kichwana pake hana vision hana mission anategemea ccm wamwandikie nini cha kufanya... huyu ni hopeless. yeye kama yeye anasema nini? nilimpenda mwigulu he didnt talk much abt chama alizungumza na watanzania
 
haitusaidii yeye kuongea kama baba yake au mama yake. sisi inatusaidia nini? kama yeye ni mwigizaji mzuri basi aende kaole huko, aende bongo movie....
 
Unatumia vigezo gani kusema mtu anafaa. Yaani kuongea tu kunakufanya uone mtu anafaa. Why are we so cheap..any one can talk. Issue ni track record na manifestos. Hatutaki experiment kwenye uraisi!!!

sawa kabisa, watz tena tunaenda kuchagua jina,kisa nyerere.Makongoro is nt presidential material, how can we justify makongoro is capable? Kuna vitu gan kafanya angalau kwa uwezo wetu tum judge anaweza urais? Jaman tusijaribu sumu kwa kuilamba,eti kisa mtoto wa nyerere,
 
sawa kabisa, watz tena tunaenda kuchagua jina,kisa nyerere.Makongoro is nt presidential material, how can we justify makongoro is capable? Kuna vitu gan kafanya angalau kwa uwezo wetu tum judge anaweza urais? Jaman tusijaribu sumu kwa kuilamba,eti kisa mtoto wa nyerere,

Nenda uko anakofanya kazi sahivi ukaulize utendaji wake ukoje,msiwe wa kutaka kuongea tu ilimradi.Kwani hiyo Nazi anayoifanya kwako wewe siyo sehemu ya kuweza kumpima mtu?ulitaka mpaka awe kwenye baraza la mawaziri ama kikubwa ni kuelewa misimamo yake,waulize wale wa EALA watakusaidia
 
Back
Top Bottom