Jamani, si maneno yangu, bali oneni wenyewe picha hii ya Waziri Mkuu wa Uganda akiwa na mawaziri wake
View attachment 42753
naona umekurupuka mbio ku post kama vile umeachwa na basi stendi ya ubungo
Post za MAGAMBA bwana zinachekesha! Mwishowe watasema wanajeshi wote duniani ni CDM.
Post za MAGAMBA bwana zinachekesha! Mwishowe watasema wanajeshi wote wa Tanzania ni CDM
Point yako ni nini? kama umezuka tu kutoka usingizini
naona umekurupuka mbio ku post kama vile umeachwa na basi stendi ya ubungo
Chadema inawahangaisha sana hamlali.
Nani kataja neno wanajeshi.
Wanaojua kusoma wamesoma habari nzima na chini ya ile picha imeandikwa hivi:
{Waziri Mkuu wa Uganda, Amma Mbabazi, akizungumza na wabunge wa NRM katika mkutano wao huko Kyankwanzi....}