Kumbe mabinti ndivyo mlivyo?


Huyo jamaa, hata kama atamchukua huyo binti waishi kwa pamoja, hiyo ndoa itakuwa ndoano na mwisho wa siku haitadumu.
 
Reactions: J C
TOka NduKi KimbiaAaaaaaaaaaaaaa....Atakufa Maskini unaowa ama Unanunuaaa
 
Reactions: J C
Ndio, huyo demu anafanya kazi IMTU au?

Nadhani itakuwa hivyo mjumbe. Anataka sifa wakati akijua mwenzie anachukua risk ya kuoa bila ya kuwa na kazi ya uhakika . Hilo halioni kwa sasa anachoona ni ndoa tu. Mxiiii.
 
Huyo mwanamke ni wa kumpa chaguo, kama akitaka kuolewa aongee vizuri na ndugu zake na wapunguze hayo mahitaji. Halafu mshkaji kama anaweza kumpumzisha ampumzishe tu maana huyo dada ana tamaa na hana nia ya dhati ya kuolewa na jamaa, rather than kujionesha kwa ndugu zake
 
Reactions: J C
Nikuulize wewe JC,huyo msichana angekuwa wako ungemuowa??

Aaa wapi nisingefanya hivyo ila mapito ya mtu huwezi yasemea kwani kila mtu anayo yanayomtosha mwenyewe.
 
Asipeleke mahari wala nn atulie tu kwan wanamuonea na ndoa hazko hivo lazma kuwe na maelewano.Atulie kwa muda usiopungua miezi miwl watajfunza tu na km akiona hawajifunzi aahrishe kabisa

Shukrani mjumbe
 
Asubuhi ya leo imeharibika,apige chini ajipange !harusi atataka ikafungiwe kwe ndege! Aaachane nae akimbie kabisa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Reactions: J C
Kwani binti si ndo anataka ndoa, amwambie ameshindwa na ndoa bas amwone binti atakavokubali kuvaa hata pete ya majani na kujilipia mahari...
 
Tell him to "run for precious life"! And he is lucky to have all of us around here!
 
Sifa kuu moja wapo ya mwanaume ni kujiamni na kusimamia maamuzi yake.Kufanyiwa maamuzi na kuwa mtekelezaji,sio ukamilifu wa mwanaume.Akiisha oa mke na mke akimnyima unyumba kwa kisingizio cha kutoruhusiwa na mama yake.Atakimbia tena kuomba ushauri Hapa sio!!?
 
Reactions: J C
Huyo msichana kaonesha tabia yake mapema sana na huyo kaka amshukuru Mungu kwa hilo.
Aachane naye haraka sana atakuja kumsumbua sana. Msichana ni aina ile ya wanawake wakiona
jirani kanunua vitz anakushinikiza ununue hummer au unyimwe unyumba.

Achana na hii kisirani!

Halafu hii thread mahali pake hasa ni MMU Invisible! Hebu fanya mpango wa hii kitu.
 
Last edited by a moderator:
mwambie aachane nae tu ful stop. Huyo hawez kuwa hata mke na wakioana hawawez kukaa hata mwaka
 
Shida sana kwetu ambao hatujaoa ni kumuomba Mungu atuepushe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…