Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

LAZARO anadai kwamba CCM imepoteza Uelekeo na anahama!...Well,hapa ninachokiona Tatizo sio KUHAMA, hii ni Haki yake Kikatiba!, Tatizo ni unapotangaza Sababu ya kuhama huko, Werevu Watahoji.

Je Bwana Waziri hivi Wakati ule Ukila BATA kwenye Shangingi la Uwaziri wa Wanyamapori huku ukitafuna Meat Chops za Ngiri wa Mikumi na Ma-Miss wa Down Town uliona CCM inafaa na ipo kwenye uelekeo sahihi???...Je Wakati unashutumiwa kutafuna Bilioni 2 za Maliasili na Bongo Movie Queen Ughaibuni je CCM ilikuwa kwako inafaa na haijapoteza Dira?

Jana kuna Jangiri huko Mbugani amedakwa na risasi 356, nasikia amebanwa huko ataje mabosi wake,..hii ni Alarm ya saa tu, Beat inakuja, MALIASILI ni Vita Mpya baada ya ile ya UNGA na MADINI,..na bado kuna swali muhimu je ni nani aliyepandisha Twiga wetu Air Quatar kwenda Picnic Dubai?..je ni nani alisafirisha Tumbiri wetu kwenda Swimming Ukraine?...how Comes Kima ndani ya KLM bila Passport wala Visa?

So unajiwahi wahi ili Vita kwenye Maliasili ikishanoga na Ukitajwa basi usingizie unakomolewa kwa sababu umehama?.... Mwenzako Nape nae tangu atoswe uwaziri wa Burudani amegeuka Philosopher!, hakika Namba mtaisoma vizuri, Nchi ya Mazoea is no More, Watanzania Sio Wajinga, kila Mtu atasimama kwenye Rangi yake...Dk Kigwangala endelea Kufukua Uozo Maliasili"..."Twende Kazi"

Ameandika,

Pio Pius....[emoji41]
na wewe kuna kitu kilikukimbiza CCM wakati ule?
tiririka mkuu...
 
Bado kuna Wilaya haijapata mteule......??????
 
Wewe ulivyoondoa miguu alikuuliza au? Hata ukiwapetipetibad ni ng'ombe aliyekatwa mkia so ni vizuri ukaufunga braza maana ushapoteza mvuto au hujijui tu?
 
mzee kaaga kimya unajiaibisha nchi kwa sasa inaelekea shimoni kwa kasi mno kila mtu anaona njaa isikuvue utu wako.
Wanyantuzu kwa kawaida ni wajanja wanja na matapeli toka enzi za Mkoloni wanajulika ........... Mpendazote naye anatokea huko!!

We hushangai, toka Kishapu kwenye Sukuma desert akaibuka na jina la Kiswahili vile ........!!
 
Ahahahahaaaa bado mzee wa kudandia treni kwa mbele,sijui anajiita Jeny Muro sijui
 
Tangu wakamatwe wale akina nanihii hana raha. Kawatoa kafara watoto wa watu umaarufu uje arudishwe Maliasili kuficha uozo wake lakini wapi.

Roho za watoto wa Lucky Vicent haziwezi kumuacha salama.
 
Tukio la Tundu Lissu Kupigwa Risasi Kumbe Lina athali kubwa sana kwa CCM na serikali kwa Ujumla.
 
Mpendazoe ni mmojawapo kati ya wabunge wasiofaa kuwahi kutokea nchini.
 
Tunataka kuona mafisadi wote wamejiunga Chadema. Wacha CCM izaliwe upya.
Amkutuahidi mafisadi mtawapeleka chadema mlisema mnafungua mahakama yao na kuwa fungu sasa ccm mnatuchanganya
 
LAZARO anadai kwamba CCM imepoteza Uelekeo na anahama!...Well,hapa ninachokiona Tatizo sio KUHAMA, hii ni Haki yake Kikatiba!, Tatizo ni unapotangaza Sababu ya kuhama huko, Werevu Watahoji.

Je Bwana Waziri hivi Wakati ule Ukila BATA kwenye Shangingi la Uwaziri wa Wanyamapori huku ukitafuna Meat Chops za Ngiri wa Mikumi na Ma-Miss wa Down Town uliona CCM inafaa na ipo kwenye uelekeo sahihi???...Je Wakati unashutumiwa kutafuna Bilioni 2 za Maliasili na Bongo Movie Queen Ughaibuni je CCM ilikuwa kwako inafaa na haijapoteza Dira?

Jana kuna Jangiri huko Mbugani amedakwa na risasi 356, nasikia amebanwa huko ataje mabosi wake,..hii ni Alarm ya saa tu, Beat inakuja, MALIASILI ni Vita Mpya baada ya ile ya UNGA na MADINI,..na bado kuna swali muhimu je ni nani aliyepandisha Twiga wetu Air Quatar kwenda Picnic Dubai?..je ni nani alisafirisha Tumbiri wetu kwenda Swimming Ukraine?...how Comes Kima ndani ya KLM bila Passport wala Visa?

So unajiwahi wahi ili Vita kwenye Maliasili ikishanoga na Ukitajwa basi usingizie unakomolewa kwa sababu umehama?.... Mwenzako Nape nae tangu atoswe uwaziri wa Burudani amegeuka Philosopher!, hakika Namba mtaisoma vizuri, Nchi ya Mazoea is no More, Watanzania Sio Wajinga, kila Mtu atasimama kwenye Rangi yake...Dk Kigwangala endelea Kufukua Uozo Maliasili"..."Twende Kazi"

Ameandika,

Pio Pius....[emoji41]

Mtu mzima kama wewe kuleta habari za umbea ni aibu sana hata kama hiyo njaa usiivalie kibwaya.
 
LAZARO anadai kwamba CCM imepoteza Uelekeo na anahama!...Well,hapa ninachokiona Tatizo sio KUHAMA, hii ni Haki yake Kikatiba!, Tatizo ni unapotangaza Sababu ya kuhama huko, Werevu Watahoji.

Je Bwana Waziri hivi Wakati ule Ukila BATA kwenye Shangingi la Uwaziri wa Wanyamapori huku ukitafuna Meat Chops za Ngiri wa Mikumi na Ma-Miss wa Down Town uliona CCM inafaa na ipo kwenye uelekeo sahihi???...Je Wakati unashutumiwa kutafuna Bilioni 2 za Maliasili na Bongo Movie Queen Ughaibuni je CCM ilikuwa kwako inafaa na haijapoteza Dira?

Jana kuna Jangiri huko Mbugani amedakwa na risasi 356, nasikia amebanwa huko ataje mabosi wake,..hii ni Alarm ya saa tu, Beat inakuja, MALIASILI ni Vita Mpya baada ya ile ya UNGA na MADINI,..na bado kuna swali muhimu je ni nani aliyepandisha Twiga wetu Air Quatar kwenda Picnic Dubai?..je ni nani alisafirisha Tumbiri wetu kwenda Swimming Ukraine?...how Comes Kima ndani ya KLM bila Passport wala Visa?

So unajiwahi wahi ili Vita kwenye Maliasili ikishanoga na Ukitajwa basi usingizie unakomolewa kwa sababu umehama?.... Mwenzako Nape nae tangu atoswe uwaziri wa Burudani amegeuka Philosopher!, hakika Namba mtaisoma vizuri, Nchi ya Mazoea is no More, Watanzania Sio Wajinga, kila Mtu atasimama kwenye Rangi yake...Dk Kigwangala endelea Kufukua Uozo Maliasili"..."Twende Kazi"

Ameandika,

Pio Pius....[emoji41]
kwa post hii ilivyo nzuri naimani mwenyekiti akiiona lazima akupatie hata wilaya 1 kati ya zile 5. Big up mkuu😀😀
 
LAZARO anadai kwamba CCM imepoteza Uelekeo na anahama!...Well,hapa ninachokiona Tatizo sio KUHAMA, hii ni Haki yake Kikatiba!, Tatizo ni unapotangaza Sababu ya kuhama huko, Werevu Watahoji.

Je Bwana Waziri hivi Wakati ule Ukila BATA kwenye Shangingi la Uwaziri wa Wanyamapori huku ukitafuna Meat Chops za Ngiri wa Mikumi na Ma-Miss wa Down Town uliona CCM inafaa na ipo kwenye uelekeo sahihi???...Je Wakati unashutumiwa kutafuna Bilioni 2 za Maliasili na Bongo Movie Queen Ughaibuni je CCM ilikuwa kwako inafaa na haijapoteza Dira?

Jana kuna Jangiri huko Mbugani amedakwa na risasi 356, nasikia amebanwa huko ataje mabosi wake,..hii ni Alarm ya saa tu, Beat inakuja, MALIASILI ni Vita Mpya baada ya ile ya UNGA na MADINI,..na bado kuna swali muhimu je ni nani aliyepandisha Twiga wetu Air Quatar kwenda Picnic Dubai?..je ni nani alisafirisha Tumbiri wetu kwenda Swimming Ukraine?...how Comes Kima ndani ya KLM bila Passport wala Visa?

So unajiwahi wahi ili Vita kwenye Maliasili ikishanoga na Ukitajwa basi usingizie unakomolewa kwa sababu umehama?.... Mwenzako Nape nae tangu atoswe uwaziri wa Burudani amegeuka Philosopher!, hakika Namba mtaisoma vizuri, Nchi ya Mazoea is no More, Watanzania Sio Wajinga, kila Mtu atasimama kwenye Rangi yake...Dk Kigwangala endelea Kufukua Uozo Maliasili"..."Twende Kazi"

Ameandika,

Pio Pius....[emoji41]
Nionyeshe ni nani alie msafi ndani ya CCm? Kuanzia ngazi za juu kabisa mpaka balozi wa nyumba kumi.
 
Safari ya Nyalandu na CCM ilikuwa safari ya NIPE-NIKUPE.. Now as the party has nothing more to give the ex minister who (in effect) has nothing (more) to give his ex Miss Tz makes the end to that journey...
Muda c mrefu tegemea kusikia Nyalandu kaachika! 🙄
Watu mna mafalsafa jamani.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
LAZARO anadai kwamba CCM imepoteza Uelekeo na anahama!...Well,hapa ninachokiona Tatizo sio KUHAMA, hii ni Haki yake Kikatiba!, Tatizo ni unapotangaza Sababu ya kuhama huko, Werevu Watahoji.

Je Bwana Waziri hivi Wakati ule Ukila BATA kwenye Shangingi la Uwaziri wa Wanyamapori huku ukitafuna Meat Chops za Ngiri wa Mikumi na Ma-Miss wa Down Town uliona CCM inafaa na ipo kwenye uelekeo sahihi???...Je Wakati unashutumiwa kutafuna Bilioni 2 za Maliasili na Bongo Movie Queen Ughaibuni je CCM ilikuwa kwako inafaa na haijapoteza Dira?

Jana kuna Jangiri huko Mbugani amedakwa na risasi 356, nasikia amebanwa huko ataje mabosi wake,..hii ni Alarm ya saa tu, Beat inakuja, MALIASILI ni Vita Mpya baada ya ile ya UNGA na MADINI,..na bado kuna swali muhimu je ni nani aliyepandisha Twiga wetu Air Quatar kwenda Picnic Dubai?..je ni nani alisafirisha Tumbiri wetu kwenda Swimming Ukraine?...how Comes Kima ndani ya KLM bila Passport wala Visa?

So unajiwahi wahi ili Vita kwenye Maliasili ikishanoga na Ukitajwa basi usingizie unakomolewa kwa sababu umehama?.... Mwenzako Nape nae tangu atoswe uwaziri wa Burudani amegeuka Philosopher!, hakika Namba mtaisoma vizuri, Nchi ya Mazoea is no More, Watanzania Sio Wajinga, kila Mtu atasimama kwenye Rangi yake...Dk Kigwangala endelea Kufukua Uozo Maliasili"..."Twende Kazi"

Ameandika,

Pio Pius....[emoji41]

*HUKU CCM TUMEJAA VILAZA TUPU*

Na, *Thadei Ole Mushi*

Nimekuwa nikiufuatilia mjadala wa Zitto anaoushikilia kuhusu pato letu la Taifa naona kama anatu-outshine sana sisi wana CCM.

Lazima tujue nani tunayebishana naye na tunatumia njia zipi kubishana naye. Kwa taarifa tu ZITTO ni mmojawapo ya wabunge wanaosoma vitabu sana akifuatiwa na wabunge wa CHADEMA. Kwa maana hiyo kuutafuta ukweli au uongo na kuujengea hoja kwake ni rahisi sana.

Huku CCM bahati mbaya hatuna wabunge wa aina hiyo wanaopenda kujisomea. Kwa maana hiyo hata kama Zitto atakuwa anatudanganya kwa statistics (data) watanzania wengi watamwelewa kwa kuwa hakuna mtu "bold" anayeweza kumjibu kwa data.

Kwa sasa jukumu la kupambana na Zitto, CCM tumemwachia Jerry Muro. Mtu ambaye hana Legal authority ya kujibu hoja zinazoelekezwa kwa Serikali ama Chama tawala.

Matokeo yake wananchi wengi wanamuona Jerry Muro kama mropokaji tu anayepiga gumzo mitandaoni ili kuilinda njaa yake hivyo wanajenga imani zaidi kwa Zitto Kabwe.

Niliwahi kusema, watu smart wanahitajika pale CCM kufanya covering kwa Serikali, yaani Chama kitoke kwanza kijibu hoja za wapinzani kabla ya Serikali, sio kuendelea kuwategemea watu aina ya Jerry Muro waliopuuzwa na watu.

Wanashindwaje kutafuta data kama Zitto na kuzijengea hoja? Hatuoni kuwa Zitto anatusogelea sana kwenye 18 zetu na anajitahidi kung'ang'ania suruali zetu ili tubaki uchi?

Njia nyingine ni kuhakikisha tuna block information zote muhimu katika vyanzo anavyotumia Zitto kabwe. Hata suala la Bombadia kukamatwa kule Canada alianza kulihoji Zitto kabla ya Lissu.

Kwa maana hiyo Zitto ana reliable source za kupata information kuliko wapinzani wote. CCM tupo wapi kujibu tuhuma hizi za Zitto? Je, Jerry Muro anatosheleza kutoa clarification kwa wananchi?

Nani anayejua kama Zitto anatudanganya ama lah!

Tufike mahali tuangalie hadhira tuliyonayo ni aina gani, Je, Propaganda zetu zinatosheleza au hadhira tuliyonayo kwa sasa inahitaji fact?

Wapiga kura wa 2020 wana tabia tofauti kabisa na wapiga kura wa kuanzia 1995 hadi 2015. Ni lazima tulizingatie hili na tuongeze ladha kwenye siasa zetu za CCM ili kukidhi matakwa ya watu wa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom