palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,462
Bado wako ndani sijajua yanayoongelewa ndani ila mamamkwe na mjomba mtu wameombwa kuingia ndani tusubiri.
duuh yawezekana huu ugomvi ulishakuwepo na ndugu walikuwa wanafahamu.
Bado wako ndani sijajua yanayoongelewa ndani ila mamamkwe na mjomba mtu wameombwa kuingia ndani tusubiri.
Bado wako ndani sijajua yanayoongelewa ndani ila mamamkwe na mjomba mtu wameombwa kuingia ndani tusubiri.
hatariii,wakitoka tu utujuze.
Never trust anybody under the sun.
usikae mbali updates muda wowote hapa..
Sorry kwa kuchelewa kuwajuza coz as a friend niliitwa ndani na lililopo ni kwamba ngosha kaamua kwamba hii ni family matter na itabesolved na pande zote husika coz jamaa ambae alikua bestman wake ndo kamsaliti na they are family friends ameamua kwanza ajipe muda wa kutafakari kabla ya kutoa maamuzi,tumemuunga mkono,ila wife wake bado kapiga magoti kwenye kitanda chake anaomba asamehewe ni shetani kampitia,mh!!yangu majicho tu.
binafsi huwa siaminigi shetani kuwepo. mtu aniombe msamaha yeye kama yeye lakini kuwa shetani alikupitia mkienda wapi? pili ishu hii ni ngumu sana hasa kwa bestman maana mkewe atajua na hili soo jingine tena.
Yeah,mke wa jamaa keshajua coz yupo hapa analia tu,tunajaribu kumtuliza,hofu yetu ni kwamba jamaa asijekujinyonga coz ni wale watu wa mkwawa.
Mgonjwa karuhusiwa tunamsindikiza nyumbani kama kutakua na any news nitawajuza,ngosha hana raha kabisa namdrive tuko kimya2,wife yeye ni kulia tu jamaa kapiga kimya.
updates zipo hapo juu
Sawa nasubiri ila isipokuja nakukamata wewe
kizuri shea na nduguyo.....!
hujazisoma tu?
Napenda kujua ndoa ina mda gani..
Tayari nimeshaisoma asante