MKINGI
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 357
- 110
Kwa kumbukumbu zangu ni miaka 2 na wana mtoto mmoja wa kike ana mwaka 1.
Ohhh owky...ndiyo ndoa za kisasa hzo...ulichopewa na Mungu kumnyima mwenzako dhambi..
Kwa kumbukumbu zangu ni miaka 2 na wana mtoto mmoja wa kike ana mwaka 1.
Ohhh owky...ndiyo ndoa za kisasa hzo...ulichopewa na Mungu kumnyima mwenzako dhambi..
duuu no way hiyo ndoa itadumu.Kwa kumbukumbu zangu ni miaka 2 na wana mtoto mmoja wa kike ana mwaka 1.
Kala kona hatujui aliko mida hii,ajabu ndie alikua bestman wake kwenye harusi ya ndugu yangu ngosha,wei ubhuruu! sorry uchungu inauma sana.
Never trust anybody under the sun.
Unajitahidi mwanzo mzuri wa utunzi jitahidi stories iwe ndefu au toa kijarida
Kwa kumbukumbu zangu ni miaka 2 na wana mtoto mmoja wa kike ana mwaka 1.
mwambieni ukweli na ajue cha kufanya mapema otherwise jamaa akiamuka tu huyu mke atapata shida sana
Kwa kumbukumbu zangu ni miaka 2 na wana mtoto mmoja wa kike ana mwaka 1.
nina wasiwasi hata huyo mtoto sio wake. mtoto ana mwaka1 mke ameshachepuka? walianza siku nyingi hawa!