Kumbe kweli

Kumbe kweli

Mwenye wife ndo kazimia wajameni,presha presha na wife wake kafika hapa muda si mrefu tunashindwa namna ya kumwambia,mwizi kachimba hayupo hatujui kama kamjuza au?

mwambieni ukweli na ajue cha kufanya mapema otherwise jamaa akiamuka tu huyu mke atapata shida sana
 
Mweeeh huyo jamaa nae bw. Ege--- kweli utamsevuje mchepuko tena mke wa mtu swt heart,badala angesevu shemu aaagggr
 
aiseee sasa nasubiria hapa hapa kudadeki kuliwa mke si kitu kizuri ujue ... mume wa mtu maziwa mke wa mtu ni panga...Tarime one mpigeni tu msimfumue marinda

Kala kona hatujui aliko mida hii,ajabu ndie alikua bestman wake kwenye harusi ya ndugu yangu ngosha,wei ubhuruu! sorry uchungu inauma sana.
 
mwambieni ukweli na ajue cha kufanya mapema otherwise jamaa akiamuka tu huyu mke atapata shida sana

Inavyoonekana keshaambiwa kaja na mabodygurd a.k.a ndugu zake we don't know wana discuss nini.
 
Bado wako ndani sijajua yanayoongelewa ndani ila mamamkwe na mjomba mtu wameombwa kuingia ndani tusubiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom