Kumbe kweli

Kumbe kweli

Tarime one

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
2,246
Reaction score
1,740
Dah!huu msemo wa mkeo mchepuko wa mwenzio kumbe kuna ukweli wajameni,
Wacha niwape habari hii bado ikiwa ya moto,tulikua tunapata lunch na best zangu hapa tabata bima kumbe kuna best yetu mmoja anachukua mke wa jamaa ambae tuko nae kampani ingawa yeye mtu wa kusafiri sana,kimbembe kilianza pale ndugu mwenye mali alipomwomba jamaa simu aitumie kumpigia ndugu yake akidai yake imekata charge,infact sijui kama jamaa alikua akihisi kuibiwa au vp,coz jamaa mwenye cm kwanza alisita kumpa cm akisingizia credt nikataka kumpa yangu atumie akakataa na kuinsist jamaa ampe aweke crdt,ikabidi jamaa akubali shingo upande kumpa cm yake,jamaa kaweka crdt ya 5000 kwanza halafu akamtwangia mdogo wake wa mkoani kujuliana khali na baada ya kumaliza kuongea kaamua kumpigia wife,ile kufeed no likatokea jina la ma sweetheart jamaa kwenda hewani kweli kapokea mkewe,mh just imagine what happen,nitaendelea kuwajuza coz tuko hosp.
 
Dah!huu msemo wa mkeo mchepuko wa mwenzio kumbe kuna ukweli wajameni,
Wacha niwape habari hii bado ikiwa ya moto,tulikua tunapata lunch na best zangu hapa tabata bima kumbe kuna best yetu mmoja anachukua mke wa jamaa ambae tuko nae kampani ingawa yeye mtu wa kusafiri sana,kimbembe kilianza pale ndugu mwenye mali alipomwomba jamaa simu aitumie kumpigia ndugu yake akidai yake imekata charge,infact sijui kama jamaa alikua akihisi kuibiwa au vp,coz jamaa mwenye cm kwanza alisita kumpa cm akisingizia credt nikataka kumpa yangu atumie akakataa na kuinsist jamaa ampe aweke crdt,ikabidi jamaa akubali shingo upande kumpa cm yake,jamaa kaweka crdt ya 5000 kwanza halafu akamtwangia mdogo wake wa mkoani kujuliana khali na baada ya kumaliza kuongea kaamua kumpigia wife,ile kufeed no likatokea jina la ma sweetheart jamaa kwenda hewani kweli kapokea mkewe,mh just imagine what happen,nitaendelea kuwajuza coz tuko hosp.
hapo naanza na shingo ya ngumi
 
Ndege wanaofanana!!!
Mji assess upya wanakikundi,huyo jamaa ametoa wapi guts za kutembea na mke wa rafiki yake?
 
Inaelekea jamaa kapasukaasupa mana hajatoka mbaka muda huu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Inawezekana tu hakuna mwenye adabu hapo huwezi jua nani alimuanza mwenzie lkn wote wanaonekana hawakuwaza mbeleni ni nini kitatokea.
 
Mh!myself nimeanza kukifanyia uchunguzi kikundi chetu hiki isijekuwa nami namegewa kisera.
 
Amemgecha mapanga nn, make nyinyi wa Tarime (Mara) hamuwacheleweshi watu kama hao!
 
Inaelekea jamaa kapasukaasupa mana hajatoka mbaka muda huu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mwenye wife ndo kazimia wajameni,presha presha na wife wake kafika hapa muda si mrefu tunashindwa namna ya kumwambia,mwizi kachimba hayupo hatujui kama kamjuza au?
 
naona hii ni kali ya leo. Hebu tupe nini kinaendelea huko uliko ili tupate habari ikiwa bado ya moto.
 
aiseee sasa nasubiria hapa hapa kudadeki kuliwa mke si kitu kizuri ujue ... mume wa mtu maziwa mke wa mtu ni panga...Tarime one mpigeni tu msimfumue marinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom