nani kakwambia kupima ukimwi ni mchezo ???
Waulize mabondia wa kick boxing wa tz walivyotimua mbio baada ya kuambiwa wanatakiwa kupimwa ukimwi !!!
View attachment 14600
haaahahahaaaa... mkuu you have made my day!!! kupima ukikwi si mchezonani kakwambia kupima ukimwi ni mchezo ???
Waulize mabondia wa kick boxing wa tz walivyotimua mbio baada ya kuambiwa wanatakiwa kupimwa ukimwi !!!
View attachment 14600
you can say it again buddy!!!!!Kwa hakika sio mchezo. Ndio maana upimaji hutakiwa kutanguliwa na ushauri nasaha wa uhakika.
hiyo ni wewe na ulipata maandalizi mazuri, kwa wengi siyo hivyo... we cant compare apples and orangesHakuna lolooooteeh!!! Mie mbona nshapima kama mara nne hivi. Na hata sasa bado naendelea kupima kila baada ya miezi mitatu pale nnapokwenda kujitolea damu BLOOD BANK YA MUHIMBILI HOSPITAL.
Kupimwa ukimwi wala hakuumizi hivyo hakuna cha kuogopa, nakushauri nawe mwana-JF uende ukapime pia ukajitolee damu pale Blood Bank Muhimbili au katika hospital yoyote iliyo karibu nawe. Kama huna pesa/mali ya kutoa sadaka kanisani au msikitini, nadhani kujitolea damu itakuwa ni SADAKA TOSHA.
UOGA WAKO NDIO KUFERI KWAKO, :A S 103:
nakuaminia malila, umesema ukweliKupima sio mchezo weweeee,
Wale wanaokaa mjengoni walipoambiwa wapime kwa hiari ili kumuunga mkono JK mbona walibadilisha mada,wakasema kupima ukimwi ni hiari ya mtu,badala yake wakaomba wapimwe sukari na BP haaaaaaa.
Walitakiwa wapime ukimwi kwa uwazi kabisa ili kiwe kielelezo kwa sisi walalahoi wanaotuongoza.:tonguez:
kujiamini tu
mie napima kila baada ya miezi sita kazini.........na naona sawa na kwenda kununua nyanya tu dukani!
na ningelikuwa na uwezo ningeshauri vyuo vikuu vyote nchini kuwafanyia medical checkup wanafunzi wao kila baada ya miezi sita....:teeth:
Yaelekea wewe ni kicheche sana tena usietumia kinga kwanini upime mara kwa mara?
hiyo ni wewe na ulipata maandalizi mazuri, kwa wengi siyo hivyo... we cant compare apples and oranges
Mkuu sijuwi huko Bongo huku majuu huwezi kuowa mke mpaka upime Ukimwi na ukipima ukimwi ukikutwa nao wanakurudisha nyumbani bomba linakuhusu sasa utakataa kupima ukimwi? au utaenda mwenyewe kupima Ukimwi? Na ukipatikana na kesi yoyotenani kakwambia kupima ukimwi ni mchezo ???
Waulize mabondia wa kick boxing wa tz walivyotimua mbio baada ya kuambiwa wanatakiwa kupimwa ukimwi !!!
View attachment 14600
siku hizi mens wanajipima kwa kuwa mimba wake zao! teh teh!
(((Don't tell GOD how big your STORM is….tell the STORM how big your GOD is!!!))))
am in love with your signatory mama!!! cheusimangala:A S-heart-2::A S 8: