Kumbe kuna jeneza Self na hamsemi!

Hahaha hawataki marehemu atoroke kaburi
 
Na hii unakuta ni kikundi kabisa na hiyo ndo kazi inayowaweka mjini.

Huwa kuna saa najisemea vya kushangaza haviwezi kuisha ndani ya hii dunia. Yaani unaeza ona hiki ukashangaa baadae unakutana na kingine kinakushangaza zaidi.
yani kama ni pesa basi inatafutwa kwakweli,dah,,!
 
Mimi hata wakinitupa porini ntakuwa nipo zangu another realm navuta zangu tu ndumu.
 
Namkubal sana kwa kitendo cha kuwa muwazi kuhusu mizigo licha ya statas yake ya Usheikh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…