Kumbe kujikomba kunalipa sana maishani

Kumbe kujikomba kunalipa sana maishani

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,229
Reaction score
98,191
Mwanzo nilikuwa nawadharau sana watu wanao jikomba komba kwa viongozi.

Lkn sasa baada ya kusikia kutoka kwa kiongozi wa dini kuwa ili ufanikiwe inabdi ujikombe nimekubali.

Wale wote waliokuwa wanasifu na kuabudu ndiyo leo wapo juu juu kabisa wakila matunda ya kusifu wakubwa.

Mufano ni mingi mno ila naomba tumsikilize kiongozi wa dini juu ya watu wanao jikomba wanavyofanikiwa.

 
Kuna watu ambao ni waadilifu, wanajiamini na wanajiheshimu kiasi ambacho huwezi kutegemea watajikomba kwako. Ni bora "umuue"
 
Kwanza mm nikigundua unatabia za kujikombakomba ,nakuweka mbali mita elfu 10, watu wa namna ni wasaliti ,muda wowote anaweza kukuharibia !!
 
Naona mnataka kufanya hiki kizazi cha kibenten sio
 
Back
Top Bottom