Kumbe kubeba mimba si mchezo!


Kaa sehemu yenye hewa nzuri, ikiwezekana baridi. Joto litakufanya ujihisi vibaya na kutapikatapika mara Kwa mara.
Kula vyakula ambavyo havina asidi na vyepesi kumeng'enywa.

Epuka mazingira yenye harufu za ajabuajabu
 
Mie nashangaaga wengine hawaumwi kabisa...wengine hizo morning sickness had unaingia labor🙌
 
Naomba kujua folic acid zipi nzuri Kwa kujiandaa kubeba mimba.
 
Mimba husumbua kwa baadhi ya watu kadri umri unavyosogea kuelekea kujifungua.

Kuna mimba humsumbua Mama, na baadhi akina Baba.

Mimi kila wife akibeba mimba basi ambaye anasumbuka huwa ni Mimi Baba.

Huwa nachagua vyakula, kichefuchefu lakini huwa sipendi mazingira machafu hata kama nitaenda ugenini.

Mbaya zaidi siku ya kujifunguza wife, basi dalili hunijia mimi.

Last time wife anakaribia kujifungua siku mbili mbele, basi nilishikwa na tumbo la kuendesha hadi alipojifungua ndiyo likakata.

Hivyo ni baadhi ya complications za mimba kwa akina Mama na akina Baba baadhi yetu.

Kwahiyo ukiwa Mzazi mtarajiwa, hivyo vitu ni vya kuzoea tu
 
Naomba kujua folic acid zipi nzuri Kwa kujiandaa kubeba mimba.
Folic ni folic ila kuna prenatal za before conception ndo nilikuwa natumia japo ni ghali ila zilinisaidia kwanza period yangu ilikaa stable siku 28.ila zinanenepesha nazo balaa .zinaitwa pregnacare za uk
Hyo hapo ni kipindi cha ujauzito kabla yake ni box kama hilo ila imeandikwa before conception .ina folic kila kituView attachment 2735606
 
Sio maneno ya kumuambia mwanamke yoyote mkuu .hata wewe ni mzazi
 
Aisee mkeo ana bahati sana.ujengewe mnara wako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…