Kumbe kubeba mimba si mchezo!


Hayo maneno aliyotamka katamka kws kuwa mkewe hajawahi kupitia changamoto za ujauzito
Ila siku wkipitia atakuja hapa kuomba msamaha
 

Kipenzi usibishane na mpumbavu ukaja kufanana nae
Ni mtu mjinga tu ambaye anadhani mwanamke akibeba mimba anaigiza kuumwa na kudeka
Halafu hajui km hilo jambo sio kila mwanamke linamtokea yeye kakomaa tu et mkewe hajawahi kuumwa amshukuru Mungu kwa hilo

Hii ni km ajali basi linapinduka wengine wanakufa wengi wanapona huwezi sema waliokufa wametaka wao
 
Itakua baba kijacho Ni ugly.
Angekua HB kichefuchefu ungekisikia kwenye mitandao
 



View: https://youtube.com/shorts/Wb-RNCSZ6Ns?feature=shared
 
Sasa hivi nimeshapita ile miezi ya tabu😍😍. Nilifungulia kutapika , nilikuwa natapika hata ninusa harufu ya pregnacare. Nilikuwa nakula ili tu nipate cha kutapika maana ukimaliza kula tu ni kutapika.

Mungu ni mwema sasa hivi nina kichefuchefu cha kawaida na nitatapika tu endapo nitajilazimisha kula chakula ambacho sikipendi.

hebu fikiria sipendi kuku eti🤨 na samaki aina yoyote ile na nyama.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…