Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Upo vizuri
 

Unaona sasa ulivyo mpumbavu? Wewe ni mpumbavu sana. Mtu ka share experience yake anayoipitia yeye mke wake akiwa mjamzito dalili zote anabeba yeye halafu unamwita lofa Kama sio upunguani unakusumbua ni nini?

Yaani wewe una ujuaji wa kijinga sana na sidhani kama hata una shule wewe. Haya jioni njema na wewe peleka ujinga wako huko.
 
Hicho kitu unachokisema kinaweza kuwa kweli nimeshawahi sikia hizo habari.
 
Haya sister basi kuwa na jioni njema.

Sawa siku nyingine subiri mada za kutahiriwa ndio uweke uzoefu wako kama iliuma au haikuuma maana ndio kitu unaweza ukawa unajua vizuri ila sio za kubeba mimba maana haujawahi kubeba mimba wewe. Usivalie njuga mambo ambayo haujayapitia wewe mke wako sio wewe. Ndio maana mke wako hawezi jua ulipitia nini huko jandoni.
 
Hahaaaaaaaa, hakuna mwanaume wa kweli wa namna ya huyo jamaa. Ndio tuwanaume twa sasa mnavyotupiga makofi hivyo ja kuviambia mimba inataka inuse halafu ya pumbu zake au asipige mswaki inataka isikie harufu ya kinywa chake. Dah, waoneeni huruma watoto wa wanawake wenzenu.
 
Haya basi yaishe umeshinda.
 
asubiri mada za nini
 
Hahahaa mimba zina mambo eti Kuna dada alisema yeye kabla hajapata ujauzito alikua anavaa kiatu namba 38, mpaka amemaliza miezi tisa na anatoka leba na mtoto anavaa kiatu namba 41 mpaka leo😆😆😆
 
Peleka uzi wako jukwaa la JF Doctor
 
Wala msilaumu sana mkuu wanawake wa sasa wanaendana tu na wanaume wa sasa tena afadhali hata ya wanawake, wanaume wengi wa sasa wamefanya jukumu la kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto lionekane ni kubwa sana kiasi cha wengine kulikimbia kabisa na wengine kutaka wapewe heshima yao kwa kulifanya, na wengine wanaenda mbali zaidi na kutaka wanawake wawasaidie hilo jukumu licha ya kuwa wanawake tayari wana majukumu yao yanawasubiri ambayo wao wanaume hawawasaidii
 
Hapo ukute na aliekutia mimba kala kona na maisha ni ungaunga mwana lazma utoke ndio ule ndio utatamani ukufe, mnatupiga sana mizinga ebu hangaikeni kidogo bwana
 
Ushauri mzuri ila hayo yoote yanatokana na maisha kama huna maisha huna chaguo
 
Pole sana nimezaa watoto wa 4 sikuwahi ku experience morning sickness ila kuna dawa zake nenda pharmacy ikifika 16 weeks utakaa sawa, na mtu asikutishe uchungu unauma kutokana na yeye alivyoumwa uchungu hauna formula kila mmoja ana uchungu wake haufanani, jiunge na darasa la midwife Aggy upate somo kuhusu mimba uchungu kunyonyesha pia install application za pregnancy week calculator zitakusaidia kama Pregnancy+ is the best for me.usisahau kumeza pregnancy prenatal minerals and vitamins au Folic Acid Fefo.
 
Nothing is permanent,vumilia hiyo hali itapita na mwishowe utajaa furaha tele ukishamleta huyo kijacho kwenye ulimwengu wenye shida na raha.
 
Kuna mama namfahmu apa mtaani kwetu anamatatizo ya akili ila Ana watoto 3...bila kukosea watakuwa wamepishana miezi au mwaka mmoja mmoja hao watoto ila maajabu yupo anazurura nao na huyo mwengine kichanga...



Kuna muda najiuliza how how and why why and who.....sipati jibu kabsa
 
Kuna ile kutema mate inaweza kwenda na wewe hadi unaingia leba
Hapo uso haujajaa kama tofali
Ila watoto wa kiume hawatesi kama wa kike
Kama mimba ya boy hupati shida sana
Baby girl sasa daah
Basi tupo tofauti baby hamna rangi nilicha ona nika vutiwa na harufu ya chibuku nikawa nakaa pale ubungo Maziwa vi bar kama lisaaa hivi narudi home
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…