Kumbe kidonge chamfanya asiwe na hamu na mwenzie.....

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
VIdonge vya uzazi au pills pamoja na kuzuia kuzaa kumbe navyo vinamwondolea hamu anayevimeza hamu ya kupeana penzi.......haya madawa badala ya kuimarisha mahusiano ndiyo kwanza yanaleta misuguano mikubwa ndani ya jamii............lol


pill-453110509.jpg


Contraceptive pill makes women less sexually satisfied - but choose more caring partners

pic-getty-images-585699713.jpg





 
Nimeisikia kwa watu kama wawili wakilalamikia hii kuwa ukiweka ni sawa na kunywa chai yenye kijiko kimoja cha sukari lakini ukitoa inakuwa vijiko vitatu
 
Nimeisikia kwa watu kama wawili wakilalamikia hii kuwa ukiweka ni sawa na kunywa chai yenye kijiko kimoja cha sukari lakini ukitoa inakuwa vijiko vitatu

sijakuelewa.........hamu inazidi au ndiyo inapotea kabisa?
 
this sexual life is really dead and buried...........................

look for yourself....................

image-1-for-works-coleen-telly-your-life-12-01-12-gallery-903143967.jpg
 
wanasema unapotumia vidonge hamu inapungua ndio maana nimefananisha na less sugar na wakati wa tendo lenyewe hawapati ladha halisi kama ambavyo inakuwa hawatumia vidonge au vipandikizi hivi

shukrani nimeelimika hapo.........
 
ni kweli yaani haya madude yana faida na hasara zake

yakikunyang'anya hamu unatofautiana vipi na yule aliyekeketwa?...........haya madude ni ukeketwaji wa kileo..........
 
Umeshatoka kanisani mkuu? Ama ndo kutoa ng'ombe zizini siku ya sabatho? This photo looks a bit too much for this forum though
this sexual life is really dead and buried...........................

look for yourself....................

image-1-for-works-coleen-telly-your-life-12-01-12-gallery-903143967.jpg
 
Umeshatoka kanisani mkuu? Ama ndo kutoa ng'ombe zizini siku ya sabatho? This photo looks a bit too much for this forum though

mbona haionyeshi kitu kabisa.................Sabatho yangu ni kila sekunde ninamtukuza Muumba kwa fikra zangu na matendo yangu.............
 
Hayo madawa hayana maana kabisa
yana hasara zaidi ya hiyo
kwa wanaopenda wenzi wao ni marfuku

afu nashangaa kwa nini hasara kama hizo haziwekwi wazi.
 
Uzuri ni kwamba madhara hua nayawekwa wazi kabisa. Kinachotakiwa ni watu wawe wanafanya uchunguzi wa kutosha kabla ya kuchagua watumie aina gani ili kuepuka madhara kama haya.
 
ni kweli yaani haya madude yana faida na hasara zake[/QUOTE

Please dont call them madude FL kwa sababu faida zake ni nyingi sana zaidi ha hasara, na kabla ya kuanza njia yoyote ya uzazi wa mpango ni vizuri kufanya vipimo na endapo utaonekana fit ndo uanze hizo dawa hii itapunguza baadhi ya adverse effects.
 
Back
Top Bottom