Nilitarajia kwamba angalau zile kura 350,000 ambazo ukifanya multiplier-effect unapata kama kura milioni 4 hivi, au zaidi, zingeenda kwa yule aliyesema ANAZIHITAJI!
Mjombajona wachekesha sana we hujui mchakachuo ulifanyika????????????????????usijishaue!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Tangu lini sera ya chama kimoja ikakidhi haja ya vyama vingi????????????????......................................
Nilitarajia kwamba angalau zile kura 350,000 ambazo ukifanya multiplier-effect unapata kama kura milioni 4 hivi, au zaidi, zingeenda kwa yule aliyesema ANAZIHITAJI!
Mh. Mwanahaki
Pamoja na kuchakachua angalia Kura za Dr.Slaa , Mwanza Mjini, Moshi, Mbeya Mjini, Bukoba Mjini, Arusha mjini, Dar na Iringa Mjini.Utabaini wafanya kazi walimpa. Si unajua kuko ndiyo wafanyakazi wengi waliko. Kwa maana nyingine Jk ni rais wa pembezoni. Town kwa wajanja hakubaliki kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.