Kumbe kauli ya “Nitimizie mahitaji yangu kama mwanamke” huwa inawakera wanaume

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Leo nimecheka sana baada ya kikao cha wanawake tulichokaa salon moja hapa mjini

Kumbe wanaume hawapendi uwambie "Nitakupenda kama utanitimizia mahitaji yangu kama mwanamke au sitajutia kuwa na wewe kama utanijali kama mwanamke"

Mara unapowambia wanaume kauli za hapo juu,hunyong'onyea na hupoteza furaha kwa ghafla

Hivi wanaume wa siku hizi kwa nini hawataki kukumbushwa majukumu yao kwa wanawake?

Mnataka tuwe tunawambia maneno yapi ili muwe na furaha kama njia ya kujali mahitaji ya mwanamke?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cutelove,
Huko salon ndio huwa manajazana ujinga. Yaani mwanamume in nature anajua majukumu yake, wala hauhitaji kumkumbusha. Jukumu lako ni kuwa mnyenyekevu na kumheshimu, hakika utafurahia mapenzi. Kwana mwanamke anayetoa kauli kama hizo mara nyingi anamdomo mchafu na hajatulia...

Narudia tena, nyenyekea na umuheshimu mumeo kama hujatembea unaringa mtaani.

Kitu kingine acheni kuwa mnamwaga siri za ndani mkiwa salon, yaani unakuta kila mtu aliyeko pale ndio nataka aonyeshe umwamba kuwa yeye ndio yeye. Pumbavu sana wanawake wenye tabia hizi...
 
mwanaume ana jukumu la kutuza familia.. ambayo ni mke wake na watoto wake...

ila mwaume hana jukumu la kumtunza mpenzi wake, mchumba wala mchepuko.. hilo ni jukumu la kulazimisha tu..
Kama umelazimisha kuwa mchepuko, mpenzi, na majukumu pia utakuwa umeyalazimisha
 
Tatizo sio wanaume wa siku hizi Bali tatizo ni wanawake wa siku hizi. Wanawake wa zamani waliishi kiuhalisia Sana. Alichofanya mume NI kuhakikisha anacho Cha kumpa mwanamke Kama mtaji then mke atajiendesha mwenyewe.

Mume alilazimika kumpa mkewe mathalani shamba au mifugo then mwanamke anawajibika kutumia nguvu na maarifa ili aendeleze alivopewa na mume.

Unafikiri wanawake wa zamani wangekuwa wanashinda kuomba omba kila kitu kwa waume zao wangedumu kwenye mahusiano yao? Unafikiri wangekuwa wanapiga soga na umbea tuu na mashostito vibarazani au kwenye visima vya maji kuwasema waume zao mahusiano yao yangedumu?

Tena nikutonye tuu, sisi waume wa kipindi hiki tunahuruma Sana kwa wake zetu, Yani tunajitoa mpaka wazee wetu wanatuona mafala

Fikiria mwanaume unawajibika kwa mke kila kitu kuanzia chakula, mavazi, watoto, Kodi etc. Zamani wale wazee walikuwa wanawatumia wake zao kujinufaisha. Walioa mitala ili wapate watu wa kuwalimisha mashamba au kuwachungia mifugo yao, huku wao wakisubiri mavuno wakauze na hela zote kumalizia kwenye ulevi na kuoa mke mwingine.

Halafu unakuja hapa unasema vitu usivyovijua, shwain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio wanaume wa siku hizi Bali tatizo ni wanawake wa siku hizi. Wanawake wa zamani waliishi kiuhalisia Sana. Alichofanya mume NI kuhakikisha anacho Cha kumpa mwanamke Kama mtaji then mke atajiendesha mwenyewe.

Mume alilazimika kumpa mkewe mathalani shamba au mifugo then mwanamke anawajibika kutumia nguvu na maarifa ili aendeleze alivopewa na mume.

Unafikiri wanawake wa zamani wangekuwa wanashinda kuomba omba kila kitu kwa waume zao wangedumu kwenye mahusiano yao? Unafikiri wangekuwa wanapiga soga na umbea tuu na mashostito vibarazani au kwenye visima vya maji kuwasema waume zao mahusiano yao yangedumu?

Tena nikutonye tuu, sisi waume wa kipindi hiki tunahuruma Sana kwa wake zetu, Yani tunajitoa mpaka wazee wetu wanatuona mafala/wangese.

Fikiria mwanaume unawajibika kwa mke kila kitu kuanzia chakula, mavazi, watoto, Kodi etc. Zamani wale wazee walikuwa wanawatumia wake zao kujinufaisha. Walioa mitala ili wapate watu wa kuwalimisha mashamba au kuwachungia mifugo yao, huku wao wakisubiri mavuno wakauze na hela zote kumalizia kwenye ulevi na kuoa mke mwingine.

Halafu unakuja hapa unakunya kunya vitu usivyovijua, shwain.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee mwanamke alikuwa hatunzwi kwa jamii yenu labda.....siku zote mke na watoto ni wa kutunzwa na ndiyo maana maandiko yalisema Adam atakula kwa jasho......eti anakabidhiwa ng'ombe au shamba afu atajua namna ya kuliendesha dah mwanaume hata km utanipa mtaji bado kunavyo vitu vidogo vidogo mume kama baba wa familia, rafiki, mpenzi wangu anihudumie nijiskie km kuwa chini ya mwanaume:p:p:p
 
Back
Top Bottom