Mkakati ni wa muda mrefu sana. Hapo alikuwa akitoa taarifa, je alitumwa lini? Alizunguka kwa muda gani?Bila Shaka wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa
Bwana Kilanga umeongea ukweli kabisaMkakati ni wa muda mrefu sana. Hapo alikuwa akitoa taarifa, je alitumwa lini? Alizunguka kwa muda gani?
Hata Trump alipotamka kwamba Africa lazima itawaliwe upya hakukurupuka tu. Na aliposema Africa ni Shitholes Countries haikuwa kwa bahati mbaya.
Na ukiangalia hata sisi wenyewe tunavyobehave inawapa mwanya.
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app