KARIBU SANA...NAFURAHI KUWA WA KWANZA KUKUKARIBISHA...MUNGU AKUSAIDIE KTK MWANZO WAKO,UWE NA UVUMILIVU NA HEKIMA KTK KUCOMMENT NA KUPOST A NEW TOPIC..BE BLESSED ALWAYS...U ARE WELCOME...I WILL BE HAPPY TO HEAR FROM YOU....:clap2:
We jiingilie tu mwayego! Hili ni jukwaa la wote.Halibagui wala halichagui.Humu kuna watu wa kila aina.Kuna wastaarabu na manyang'au humu hivyo ujiandae kwa lolote.
angalia tusikumiss kama jamaa hapo juu kuna wanaoingia wakisoma comments za watu wanahisi kukataliwa na jf la hasha kumbe ndio democracy wanachapa lapa na atuwaoni tena else wamekuja kivingine...3names not allowed mtumshi wa bwana natumaini kwa maombi yako ya agape jf itaheshimika serikalini na kwengine kote tukianza na walalhoi wenzetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.