Kumbe ilikua inawezekana serikali kuwasiliana na X/Twitter wakazuia maudhui ya ngono yasionekane Tamzania bila kuifungia!.

Kumbe ilikua inawezekana serikali kuwasiliana na X/Twitter wakazuia maudhui ya ngono yasionekane Tamzania bila kuifungia!.

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,743
Reaction score
6,236
UK wamefanya hivyo bila kuigunga X, sasa ingawa sio sababu halisi ya kufungiwa kwa X, kwanini Jerry silaa wasiwasiliane na uongozi wa X wakazuia haya maudhui wanayosema hayafai kwa mlaji kuliko kuofungia kabisa?
 
Walisingizia tu hawakuifungia X sababu ya hayo maudhui bali kudhibiti mijadala ya kisiasa
 
Kule Wenye akili ya kuwaza hivyo hawapo
 
Kwa mwandiko huu Ndugu Rudi shule kwanza
 
UK wamefanya hivyo bila kuigunga X, sasa ingawa sio sababu halisi ya kugungiwa kwa X, kwanini Jerry silaa wasiwasiliane na uongozi wa X wakadhuia haya maudhui wanayosema hayafai kwa mlaji kuliko kuofungia kabisa?
Mambo ya hovyo sana kuifungia x
 
UK wamefanya hivyo bila kuigunga X, sasa ingawa sio sababu halisi ya kugungiwa kwa X, kwanini Jerry silaa wasiwasiliane na uongozi wa X wakadhuia haya maudhui wanayosema hayafai kwa mlaji kuliko kuofungia kabisa?
Njia ya mwongo ni fupi hawakuwa nanalengo walilolisema!
 
UK wamefanya hivyo bila kuigunga X, sasa ingawa sio sababu halisi ya kufungiwa kwa X, kwanini Jerry silaa wasiwasiliane na uongozi wa X wakazuia haya maudhui wanayosema hayafai kwa mlaji kuliko kuofungia kabisa?
Nyie si mnaingia huko kwa kutumia Vpn, na location mna switch tu
 
Na walificha has CV za wabunge, shida sana
 
huyo Jerry Slaa awasiliane akiwa kama nani kwanza?
kwani Bunge halijavunjwa tu?
sasa kama limevunjwa
huo uwaziri yeye anautoa wapi ama ni katiba ya chama inasema hivyo?
 
Back
Top Bottom