Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,514
- 34,311
- Thread starter
- #21
Hapo ndiyo tatizo lilipo. Kwa nini kisiwepo kitu cha kununua kwa hela hizo? Kama kuna senti tano, kumi, Ishirini, Hamsini, Shilingi moja, Shilingi tano, shilingi kumi na Ishirini kwa nini vitu vya kununuliwa kwa hela hizo visiwepo. Sasa hizo hela zinazalishwa kwa ajili ya kuzifanyia maonesho?Kwani Kuna Kitu cha kununua Tsh 1. Tsh 2 na Tsh 5?