Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,410
- 8,911
Kuanzia TRA kumbe mpaka TANROADS ni Mzee Mkapa ( RIP) alianzisha, sasa wengine miaka 10 walikuwa wanafanya nini Ikulu ? Angalau Mzee Mwinyi miaka 10 alipiga kazi pia, alifanya mengi sana ukichukulia ukweli kwamba aliongoza nchi kipindi kigumu sana cha mageuzi ila 2005-2015 ni lost decade Tanzania, sioni kilichofanyika kama kuna anayejua ukiondoa substandard UDOM aseme, hata Bunge letu Dodoma ni Mzee Mkapa alijenga, Magufuli (RIP) alianza kujenga Mji wa kiserikali na kuhamia rasmi Dodoma.
Hata mchakato wenyewe wa Katiba ulianzishwa kipindi hicho ulikuwa fake, sasa nini kilifanyika cha maana kwa miaka 10 ?
Nilichojifunza ni kwamba ukiona mtu anatumia nguvu nyingi sana kutaka kuwa raisi ujue ni bogus, Mkapa wala hatukutegemea na wala hakuna aliyetegemea lkn alikuwa success story, ila nguvu iliyotumika kuingiza 2005-2015 ni kubwa mno tulichopata ni hasara tupu, 2015-2020 pia tulishtukizwa na ilikuwa ni success story depending on your IQ kama ni low unaweza usione, …
Hata mchakato wenyewe wa Katiba ulianzishwa kipindi hicho ulikuwa fake, sasa nini kilifanyika cha maana kwa miaka 10 ?
Nilichojifunza ni kwamba ukiona mtu anatumia nguvu nyingi sana kutaka kuwa raisi ujue ni bogus, Mkapa wala hatukutegemea na wala hakuna aliyetegemea lkn alikuwa success story, ila nguvu iliyotumika kuingiza 2005-2015 ni kubwa mno tulichopata ni hasara tupu, 2015-2020 pia tulishtukizwa na ilikuwa ni success story depending on your IQ kama ni low unaweza usione, …